Balozi limited
JF-Expert Member
- Jun 6, 2022
- 989
- 2,565
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Daah!!!! Ngoja niwe mpole jobless mm! Nosubiri psrs wafanye yao...nikikua nitakuwa km wwe meckproKama mie tu magari Sasa nayajua na nikingia job ndo kabisa mie na jamaaa anayefundisha mechanic [emoji3463] lazima tuwe marafiki kila siku kama Sina kipindi naenda kula SoMo Bure bila kulipa Ada
Wajuba na polisi, uhamiaji, magereza, fire, mmejaribu au ndio tunasubiria wazee wa kukanda tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Daah!!!! Ngoja niwe mpole jobless mm! Nosubiri psrs wafanye yao...nikikua nitakuwa km wwe meckpro
Ma-Subaru sio?Kama mie tu magari Sasa nayajua na nikingia job ndo kabisa mie na jamaaa anayefundisha mechanic 🧰 lazima tuwe marafiki kila siku kama Sina kipindi naenda kula SoMo Bure bila kulipa Ada
Jikubali tu mkuu...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Daah!!!! Ngoja niwe mpole jobless mm! Nosubiri psrs wafanye yao...nikikua nitakuwa km wwe meckpro
Ahahaha, umewaza Nini, kule masharti ni mengi mnoWajuba na polisi, uhamiaji, magereza, fire, mmejaribu au ndio tunasubiria wazee wa kukanda tu
Hahahaha najipa Imani tu mkuu job kwenyewe si umeona wamezingua mpaka Leo mwezi wa kwanza 😞😞[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Daah!!!! Ngoja niwe mpole jobless mm! Nosubiri psrs wafanye yao...nikikua nitakuwa km wwe meckpro
Acha tu Mkuu tunawaza vitu vikubwa afu uwezo hatunaMa-Subaru sio?
Ila angalau unaishi kwa matumaini meck proHahahaha najipa Imani tu mkuu job kwenyewe si umeona wamezingua mpaka Leo mwezi wa kwanza 😞😞
Ni pesa tu huna, ila status unayo, kitaa unavimba nafanya kazi taasisi A.Matumaini feki ogopa Mtu unapata placement then Kuna watu hawajafanya interview wanakuja kupiga interview na placement zao zinatoka na wanaanza job wewe upo tu unashangaaaa shangaaa
Jokes meck proNi pesa tu huna, ila status unayo, kitaa unavimba nafanya kazi taasisi A.
Now wasubr psrs watanganze kazi niombe nikapige Tena interview maana ya TRA SikwendaNi pesa tu huna, ila status unayo, kitaa unavimba nafanya kazi taasisi A.
Kabisa yupo kwenye Grid ya taifaKwamba nae ni kama wale waliopo kwenye g
GridYaTaifa😁😁
Ungeenda tuNow wasubr psrs watanganze kazi niombe nikapige Tena interview maana ya TRA Sikwenda
Now wasubr psrs watanganze kazi niombe nikapige Tena interview maana ya TRA Sikwenda
Walinipangia dodoma then nipo dar(sinaga sanduku la posta) nikawacheki wanibadilishie kituo Cha Pepa nikafanye duce wakagoma kabisa nikawambia naenda hivyo hivyo 🤣 wakasema hiyo hawezekani ndo wakatoa na TANGAZO kila Mtu akafanye interview sehemu aliyopangiwa na mfukoni Nina 60k tu basi nikakusha tu hata sikua na mood ya kukopa nikijipa moyo Nina kazi mie sitaki Tena interviewUngeenda tu
Unaona sasa maana ya kuishi kwa matumaini, ukajipa moyo kazi unayo.Walinipangia dodoma then nipo dar(sinaga sanduku la posta) nikawacheki wanibadilishie kituo Cha Pepa nikafanye duce wakagoma kabisa nikawambia naenda hivyo hivyo 🤣 wakasema hiyo hawezekani ndo wakatoa na TANGAZO kila Mtu akafanye interview sehemu aliyopangiwa na mfukoni Nina 60k tu basi nikakusha tu hata sikua na mood ya kukopa nikijipa moyo Nina kazi mie sitaki Tena interview
Nilipotezea kisa Nina barua pia walinipangia dodoma mfukoni Nina Hela ndogo siku zingine huwa nakopa fresh naenda ila hii nikaona siwezi kukopa wakati Nina barua so pia niliwacheki wanipe ruhusa nifanye duce wakagoma kabisaMkuu hukwenda kwa maana hukuomba hizo nafasi au ulikuwa shortlisted lkn ulipotezea kwa sababu tayari una barua mkononi.
Ndo hayo matumaini feki yameniponzaaUnaona sasa maana ya kuishi kwa matumaini, ukajipa moyo kazi unayo.