Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Huo uzi ndo umenifanya nibadili ID na kuufuta lol[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Watanzania wengi wavivu na hawana shukrani, wachache nliwasaidia na nashukuru Mungu we are getting along.... Ila nmekuja kuona why hatuendelei, tutabaki kulilia ujobless [emoji23][emoji23]
Kuna siku nilikuona kule, ukawa unahadithia hatua mbili tatu kuhusu biashara, baadaye nikaona watu wakaanza kukuomba mtete PM.

Mimi nilipita tu kimya kimya bila kutia neno wala like, maana ukilike, quote, reply tayari mtu anajua ushasoma post yake[emoji3][emoji3]
 
Kuna siku nilikuona kule, ukawa unahadithia hatua mbili tatu kuhusu biashara, baadaye nikaona watu wakaanza kukuomba mtete PM.

Mimi nilipita tu kimya kimya bila kutia neno wala like, maana ukilike, quote, reply tayari mtu anajua ushasoma post yake[emoji3][emoji3]
Ma jobless mliofanya oral ya MUHIMBILI (MNH) PDF ishatoka huko nenda kaangalie jina lako
 
Embu tupe experience yako na share baadhi ya maswali ulioulizwa tufahamu muundo wa maswali ni mention au explain points zako tano tano ...wasaidie jobless wenzio wawewanajua wakiingia oral mfumo wa maswali uko hv Twinawe
ICT technician
1.introduce your self(education background,achievement and carrier experience)
2.
(a)different between database and software
(b)importance of database

3.(a)mention network topology
(b)importance of network topology.
4(a)what to do to ensure information system is safe.
(b)what would you do in case computer does not get Internet

5(a) how to remove information from failed computer
 
Back
Top Bottom