little finger
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 394
- 997
TRA Oral wanafanya Tar 7-8, ndo mwishoWakuu, hizi saili za TRA zitatamatika lini maana sie wengine tunaosubiria shortlisted l, So tujue kama mwezi huu tunapenda Dodoma ili tuandae Nauli kabisa .
Kuna madereva mwisho tar 15TRA Oral wanafanya Tar 7-8, ndo mwisho
Vp mkuu,, status hujaanza kufuatilia..😁😁😁, nahisi ishaanza kubadilika huko au sio.Kuna madereva mwisho tar 15
Ile nafasi unapata kaka anza kuandaaa SUTI ya kufuatia barua dodomaMimi bado sana mkuu, na ile nafasi siipati.
Sijaangalia wala ngoja wamalize pepa maderevaVp mkuu,, status hujaanza kufuatilia..[emoji16][emoji16][emoji16], nahisi ishaanza kubadilika huko au sio.
Nakuzingua tu mkuu... Oral yenyewe mmefanya Jana. Sikiliza tokeo tu wenye mwezi wa 4 huko.Sijaangalia wala ngoja wamalize pepa madereva
ngoja nitume maoni yangu na mmMWALIKO WA KUPOKEA MAONI YA ONLINE APTITUDE TEST
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge amekuwa akisikiliza na kutatua changamoto mbalimbali za wadau katika Suala zima la Ajira. Hivyo, ili kupata suluhisho la kudumu, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imeanza mchakato wa kujenga mfumo wa kieletroniki ambao utawawezesha waombaji wa fursa za ajira kufanya usaili wa kuandika kwenye ngazi za Mikoa na Wilaya kupitia vituo maalum.
Ili kufanikisha zoezi hilo, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inatarajia kukusanya maoni na mahitaji ya mfumo huu kutoka kwa wadau wake, hususan waombaji kazi katika vituo vya Dodoma na Dar es Salaam katika kumbi ambazo mtajulishwa. Vikao hivi vya wadau vitafanyika kuanzia tarehe 09 -12 Januari 2023. Kwa kituo cha Dodoma, kikao cha wadau kitafanyika tarehe 9 Januari, 2022 na Dar es Salaam kitafanyika tarehe 11-12 Januari, 2022.
******************
Wakuu nendeni mkatoe maoni, kwa mtazamo wangu naona hii itasaidia sana kupunguza jam la written halafu pia kila mtu atakaeomba atapata nafasi ya kujitetea.
Source: PSRS website
Mimi siku niliyoona Jina langu sikulala kabisajamani mjue hata usingizi sina kabisa
Me naona ilikuwa hamna haja ya hadi kukutana huko.Maoni yote yapo kwenye huu uzi,waufuatilie tu.MWALIKO WA KUPOKEA MAONI YA ONLINE APTITUDE TEST
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge amekuwa akisikiliza na kutatua changamoto mbalimbali za wadau katika Suala zima la Ajira. Hivyo, ili kupata suluhisho la kudumu, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imeanza mchakato wa kujenga mfumo wa kieletroniki ambao utawawezesha waombaji wa fursa za ajira kufanya usaili wa kuandika kwenye ngazi za Mikoa na Wilaya kupitia vituo maalum.
Ili kufanikisha zoezi hilo, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inatarajia kukusanya maoni na mahitaji ya mfumo huu kutoka kwa wadau wake, hususan waombaji kazi katika vituo vya Dodoma na Dar es Salaam katika kumbi ambazo mtajulishwa. Vikao hivi vya wadau vitafanyika kuanzia tarehe 09 -12 Januari 2023. Kwa kituo cha Dodoma, kikao cha wadau kitafanyika tarehe 9 Januari, 2022 na Dar es Salaam kitafanyika tarehe 11-12 Januari, 2022.
******************
Wakuu nendeni mkatoe maoni, kwa mtazamo wangu naona hii itasaidia sana kupunguza jam la written halafu pia kila mtu atakaeomba atapata nafasi ya kujitetea.
Source: PSRS website
Najaribu kusema ukweli mkuuKwanini unaikatia tamaa mapema hivi kaka.
Najaribu kusema ukweli mkuu
Ni vigumu sana mkuuIle nafasi unapata kaka anza kuandaaa SUTI ya kufuatia barua dodoma
Status sijawahi kuangalia na sitaangalia hadi placement itoke.Kama una "" selected for null"" kaka, relax and trust the process, naamin upo kwenye mkeka.
Unapitwa sana bro🤣, ila usiangalie utapata pressure.Status sijawahi kuangalia na sitaangalia hadi placement itoke.
Niliwaambia hivi tangu nimalize oral November 7, 2022
Hiyo selected for null maanayke ni selected for oral...hiyo null ni database error tu haina maana yyte...status hubakia vile vile selected for oral kw mtu aliefika oral kwa aliepta placement au asiepata placementKama una "" selected for null"" kaka, relax and trust the process, naamin upo kwenye mkeka.
Now nimekua mzembe kuandika ila kuwasaidia tu ,
"kuhusu hili la kuzuia mwenye degree kuomba kazi ya chini mfano diploma au certificate kata kama ana vyeti husika ni kuweka educational equality na usawa wa uwezo wa wasailiwa kwenye nafasi husika mfano Mtu mwenye degree na ana vyeti vya certificate na diploma akiomba kufanya interview na watu certificate ana asalimia 99 kama sio 100% kufaulu usail kuliko huyo Mtu wa certificate na Hilo lishatokea sana kipindi Cha nyuma"
by mkandajia akaendelea akatoa tena mfano
"hata kwenye ngumi huwa wanapimwa uzito na kupiganishwa watu wenye uzito unaowiana haya ndo majibu ya uhakika na yanayoleetaa maana"
jamaaa akaendelea kusema
"mara nyingi Ukiona Mtu mwenye degree anataka kufanya interview na watu wa chini yake huyo Mtu ameshazidiwa uwezo na wenzie wa degree so akaona akimbilie chini huenda akapa nafuu pia wengine huwa wanatamaa tu akiona kozi aliyosoma anataka aombe wakati elimu yake ya Sasa ni ya juu na uwezo na maarifa hayapungui kisa umeomba kazi ya chini utafanya interview ukiwa na uwezo tofauti na wenzio na hakutakua na usawa"
(Hilo swali Kuna mdau aliuzaga tukiwa nje tunasubili kufanya practical interview aliuliza why system hairuhusu Mtu mwenye diploma kuomba kazi ya certificate jamaaa ndo akatueleza hayo)
Ahaa karibu kwenye Uzi wetu,
Wizy kwenye ubora wangu (jokes)Kama una "" selected for null"" kaka, relax and trust the process, naamin upo kwenye mkeka.
Nipo mkuu!hizi wiki mbili nimebanika mahali nasaka tonge.huku nachungulia tu nalike natoka ila tuko pamoja sanaaaa mpaka kielewekeLeo Kuna nyengine inakuja, tuseme Amina 😂😂