Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

MWALIKO WA KUPOKEA MAONI YA ONLINE APTITUDE TEST

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge amekuwa akisikiliza na kutatua changamoto mbalimbali za wadau katika Suala zima la Ajira. Hivyo, ili kupata suluhisho la kudumu, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imeanza mchakato wa kujenga mfumo wa kieletroniki ambao utawawezesha waombaji wa fursa za ajira kufanya usaili wa kuandika kwenye ngazi za Mikoa na Wilaya kupitia vituo maalum.

Ili kufanikisha zoezi hilo, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inatarajia kukusanya maoni na mahitaji ya mfumo huu kutoka kwa wadau wake, hususan waombaji kazi katika vituo vya Dodoma na Dar es Salaam katika kumbi ambazo mtajulishwa. Vikao hivi vya wadau vitafanyika kuanzia tarehe 09 -12 Januari 2023. Kwa kituo cha Dodoma, kikao cha wadau kitafanyika tarehe 9 Januari, 2022 na Dar es Salaam kitafanyika tarehe 11-12 Januari, 2022.

******************

Wakuu nendeni mkatoe maoni, kwa mtazamo wangu naona hii itasaidia sana kupunguza jam la written halafu pia kila mtu atakaeomba atapata nafasi ya kujitetea.

Source: PSRS website
 
MWALIKO WA KUPOKEA MAONI YA ONLINE APTITUDE TEST

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge amekuwa akisikiliza na kutatua changamoto mbalimbali za wadau katika Suala zima la Ajira. Hivyo, ili kupata suluhisho la kudumu, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imeanza mchakato wa kujenga mfumo wa kieletroniki ambao utawawezesha waombaji wa fursa za ajira kufanya usaili wa kuandika kwenye ngazi za Mikoa na Wilaya kupitia vituo maalum.

Ili kufanikisha zoezi hilo, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inatarajia kukusanya maoni na mahitaji ya mfumo huu kutoka kwa wadau wake, hususan waombaji kazi katika vituo vya Dodoma na Dar es Salaam katika kumbi ambazo mtajulishwa. Vikao hivi vya wadau vitafanyika kuanzia tarehe 09 -12 Januari 2023. Kwa kituo cha Dodoma, kikao cha wadau kitafanyika tarehe 9 Januari, 2022 na Dar es Salaam kitafanyika tarehe 11-12 Januari, 2022.

******************

Wakuu nendeni mkatoe maoni, kwa mtazamo wangu naona hii itasaidia sana kupunguza jam la written halafu pia kila mtu atakaeomba atapata nafasi ya kujitetea.

Source: PSRS website
ngoja nitume maoni yangu na mm

Sent from my Redmi 5 Plus using JamiiForums mobile app
 
MWALIKO WA KUPOKEA MAONI YA ONLINE APTITUDE TEST

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge amekuwa akisikiliza na kutatua changamoto mbalimbali za wadau katika Suala zima la Ajira. Hivyo, ili kupata suluhisho la kudumu, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imeanza mchakato wa kujenga mfumo wa kieletroniki ambao utawawezesha waombaji wa fursa za ajira kufanya usaili wa kuandika kwenye ngazi za Mikoa na Wilaya kupitia vituo maalum.

Ili kufanikisha zoezi hilo, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inatarajia kukusanya maoni na mahitaji ya mfumo huu kutoka kwa wadau wake, hususan waombaji kazi katika vituo vya Dodoma na Dar es Salaam katika kumbi ambazo mtajulishwa. Vikao hivi vya wadau vitafanyika kuanzia tarehe 09 -12 Januari 2023. Kwa kituo cha Dodoma, kikao cha wadau kitafanyika tarehe 9 Januari, 2022 na Dar es Salaam kitafanyika tarehe 11-12 Januari, 2022.

******************

Wakuu nendeni mkatoe maoni, kwa mtazamo wangu naona hii itasaidia sana kupunguza jam la written halafu pia kila mtu atakaeomba atapata nafasi ya kujitetea.

Source: PSRS website
Me naona ilikuwa hamna haja ya hadi kukutana huko.Maoni yote yapo kwenye huu uzi,waufuatilie tu.


Saili zifanyike katika mikoa na oral ndo ikafanyike Asha Rose Migiro kule
 
Now nimekua mzembe kuandika ila kuwasaidia tu ,


"kuhusu hili la kuzuia mwenye degree kuomba kazi ya chini mfano diploma au certificate kata kama ana vyeti husika ni kuweka educational equality na usawa wa uwezo wa wasailiwa kwenye nafasi husika mfano Mtu mwenye degree na ana vyeti vya certificate na diploma akiomba kufanya interview na watu certificate ana asalimia 99 kama sio 100% kufaulu usail kuliko huyo Mtu wa certificate na Hilo lishatokea sana kipindi Cha nyuma"

by mkandajia akaendelea akatoa tena mfano

"hata kwenye ngumi huwa wanapimwa uzito na kupiganishwa watu wenye uzito unaowiana haya ndo majibu ya uhakika na yanayoleetaa maana"


jamaaa akaendelea kusema


"mara nyingi Ukiona Mtu mwenye degree anataka kufanya interview na watu wa chini yake huyo Mtu ameshazidiwa uwezo na wenzie wa degree so akaona akimbilie chini huenda akapa nafuu pia wengine huwa wanatamaa tu akiona kozi aliyosoma anataka aombe wakati elimu yake ya Sasa ni ya juu na uwezo na maarifa hayapungui kisa umeomba kazi ya chini utafanya interview ukiwa na uwezo tofauti na wenzio na hakutakua na usawa"

(Hilo swali Kuna mdau aliuzaga tukiwa nje tunasubili kufanya practical interview aliuliza why system hairuhusu Mtu mwenye diploma kuomba kazi ya certificate jamaaa ndo akatueleza hayo)

Mkuu asante sana, na upande wa pili kwa wale wenye elimu za taaluma tofauti hasa ambazo sio za ngazi za elimu.


Kwa mfano mtu ana degree yake ya uhasibu ila amesoma na kupata certification ya masuala ya bima ambayo ni nyeti sana kwa wanaosoma mambo hayo.

Au unakuta mtu ana shahada ya business admin ila akasoma certification ya bodi ya masuala ya ugavi.

Hawa watu wanafanyaje ili wawe na urahisi wa kuomba kazi za taaluma zote?
 
Back
Top Bottom