Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Duh noma sana hiyo
 
Hapo kama ni mimi nawafungulia kesi mahakamani na kazi/barua watanipa
 
Kwahiyo wanaweza kufuata barua? Isije ikawa wameanza kuipika mpya hiyo pdf
Lile tangazo jioni hii litawekwa tena.. Ila lazima litaongezwa taasisi nyingine nyingi tena unaweza kuta zote za November zitakuwa ndani.. Lile pdf ni ndogo sana lazima waweke kitu kilichonona.. Wale wa HESLB & NAOT mjiandae kupokea majina yenu na Barua zenu leo
 
Najaribu kuwaza incidence ambayo jina uliliona kabla hawajafuta ila baada ya marekebisho hulioni.....ha ha ha...hapo itabidi uende hivyo hivyo kufata barua na tangazo la awali.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]lazima pachimbike hapo
 
Ishapandishwa au bado?
 
Nlielekezwa hapa hapa, kijana wa hovyo alienielekeza ndo simkumbuki mpaka nirud huko juu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaa hii JF ni kubwa sana, ina mitaa mingi sana. Wakati sisi hapa tunajadili kuhusu jinsi ya kupata kazi, Kuna wengine wanajadili mambo ambayo hata kusoma tu naogopa😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…