Balozi limited
JF-Expert Member
- Jun 6, 2022
- 989
- 2,565
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuliwasema sana wameamua watukande sasa
Bila shaka huu nao uko njiani, endelea kujiandaa mkuu na ikawe heri kwako.Mkeka wa SUA vp wa kada zingine tofauti na tutorial na tutorial assistant
😂😂😂😂😂Karibuni katika mkando wa kesho wasaka mirija ya Asali.
Mkija kutusindikiza na Ngoma ya Mkando Ft official tutapata mzuka wa kukabili mkando ipasanyo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kesho unapita mzee uhakikaKaribuni katika mkando wa kesho wasaka mirija ya Asali.
Mkija kutusindikiza na Ngoma ya Mkando Ft official tutapata mzuka wa kukabili mkando ipasanyo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nadhani deadline ilikuwa 13 July..Uliomba ipi mkuu..?Mkeka wa SUA vp wa kada zingine tofauti na tutorial na tutorial assistant
Wanaanza mwezi ujao wa kumi?Udom Sup wanaanza tar 18 but kwa mujibu wa info kutoka kwa jamaa anayesoma pale
Hahahahaa, unanipa moyo sana huku nikiendelea kupiga PSRS Royal TuaKesho unapita mzee uhakika
😂😂😂😂Tutafanyaje sasa hamna jinsiHahahahaa, unanipa moyo sana huku nikiendelea kupiga PSRS Royal Tua
We jamaa unapenda kupeana moyo kwenye hamna [emoji16][emoji16].. hata kama Hali ni Tete,, hv huoni hyo Mikandamizo kutoka PSRS kwa vijna wenzio..?
Duh ! Maana Sisi wahandisi hizo sahili zenyewe za kuhesabu , yaani kweli kweli utakuta kazi nafasi 1 watu shortlisted zaidi ya mia tatu .
Bora WA biashara kidogo naona wanakuwa na mikeka mirefu mfano TRA Ila uhandisi nchi hii ni majanga
Hii nchi ya ovyo Sana ,wahandisi wamesahaulika kabisa .
AsanteBila shaka huu nao uko njiani, endelea kujiandaa mkuu na ikawe heri kwako.
Ya tarehe Hiyo hiyo kada ya laboratory technologistNadhani deadline ilikuwa 13 July..Uliomba ipi mkuu..?
mzee umepambana sana Siku nikirudi jf Mungu akusaidie nikukute tayari uko kwenye mrija mkuu inshaallah [emoji120]Hahahahaa, unanipa moyo sana huku nikiendelea kupiga PSRS Royal Tua
Tusubiri mkuuYa tarehe Hiyo hiyo kada ya laboratory technologist
Nishakandwa hapa[emoji3][emoji3][emoji3]Ngoja tusubiri watoke kwenye paper kesho watujuze kulikoni [emoji16]
Nitie moyo ndugu yangu nimetoka kukandwa muda huu.Jumamosi tulivu sana,,,,Mwezi umekimbia no new,,,,bado tunapambana