Hahahahaa, sikutaka kujitakia stressHiyo ingawaje hujaiangaliaga mara kwa mara ila ilibadilika ulikuwa shirtlisted then selected for oral [emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera sana mkuu.Nami Mungu ameniona NAOT nilimaliza chuo tangu 2016,nilikuwa na oral moja tu hiyo zote sifiki oral ya juzi tra ndo niliumia zaidi ,kumbe Mungu bado mwema na mwaminifu,Ni maombi yangu Mungu awakumbuke nanyi pia.
Ahsante sana, Mungu ni mwema.Dah had nimelia,hongera sana mwifa,am so so sooo happy for u. Wewe ni ushuhuda unaoishi,Mungu akutangulie dear kwenye majukum yako mapya.
Ila usitutelekeze hum jaman,we still need u[emoji3]
Kaka hongera sana hongera sana hongera sana wakati wa Mungu ni wakati sahihi Mungu alikuandalia mahali panapokufaa.Finally I made it!
Kutana na Mwifwa- From three times defeat to Champion
Hii ndio ilikuwa safari yangu ya kusaka mrija wa Asali.
Mwaka 2021, safari hii ilishika kasi kwa kuapply mara 8( Sekta binafsi, Wizarani na Tamisemi). Kote niliangukia pua, Sekta binafsi sikubahatika hata kuitwa kwa usahili.
Mwaka 2022, kasi ikaendelea kushika kasi nilipoapply Wizarani na Tamisemi kabla ya kutimkia PSRS, mara hii niliangukia pua pia Wizarani na Tamisemi.
PSRS nilifanya application 5, 4 nikawa shortlisted, moja sikuwa shortlist kwa sababu isiyokuwa ya msingi maana hiyo sababu wangeizingatia nisingekuwa shortlist zile zingine 4.
Kwenye shortlist 4, tatu nikakandwa mfululizo hadi nikakata tamaa, ila wadau wa humu wakanipa moyo na nikapata nguvu ya kwenda kupambana.
Baada ya kwenda kwenye battle nikaingia oral kimasihara. The rest is history, what a joyful in my life history, my eyes are filled with joyful tears.
Join me in celebrating this remarkable history!!
Wazee naomba mnidhibitishie kama utumishi hakuna mambo ya connectionAhsante mkuu, ulitunyima mrejesho ila tuishi tu
Hongera sana mwifa ikawe kheri kwako....Finally I made it!
Kutana na Mwifwa- From three times defeat to Champion
Hii ndio ilikuwa safari yangu ya kusaka mrija wa Asali.
Mwaka 2021, safari hii ilishika kasi kwa kuapply mara 8( Sekta binafsi, Wizarani na Tamisemi). Kote niliangukia pua, Sekta binafsi sikubahatika hata kuitwa kwa usahili.
Mwaka 2022, kasi ikaendelea kushika kasi nilipoapply Wizarani na Tamisemi kabla ya kutimkia PSRS, mara hii niliangukia pua pia Wizarani na Tamisemi.
PSRS nilifanya application 5, 4 nikawa shortlisted, moja sikuwa shortlist kwa sababu isiyokuwa ya msingi maana hiyo sababu wangeizingatia nisingekuwa shortlist zile zingine 4.
Kwenye shortlist 4, tatu nikakandwa mfululizo hadi nikakata tamaa, ila wadau wa humu wakanipa moyo na nikapata nguvu ya kwenda kupambana.
Baada ya kwenda kwenye battle nikaingia oral kimasihara. The rest is history, what a joyful in my life history, my eyes are filled with joyful tears.
Join me in celebrating this remarkable history!!
Ahsante sana mkuuHongera sana mkuu.
Ahsante sana mkuu, Mungu ni mwema, huu ushindi ni wetu sote. Tuendelee kupambana kwa kupeana miongozo kama kawaida yetu humuHongera sana Mwifwa hakika Mwenyezi Mungu amekupa kile ulichostahili. Furaha niliyopata juu ya makuu yaliyotendeka juu yako it's like kama tulikuwa tunafahamihana. Hakika kijana uligusa maisha ya kila mtu kwa namna ya kipekee. I wish you nothing but the best of lucky in your new journey brother.
Hongera mungu anajua kipi ni bora kwako nenda naot pia ni kuzuri tu hasa ukiwa mkaguzi wa hesabu misafari kibaoNami Mungu ameniona NAOT nilimaliza chuo tangu 2016,nilikuwa na oral moja tu hiyo zote sifiki oral ya juzi tra ndo niliumia zaidi ,kumbe Mungu bado mwema na mwaminifu,Ni maombi yangu Mungu awakumbuke nanyi pia.
Ahsante sana mkuuHongera sana mkuu, Mungu ni mwema
Hahaha ni nomaJaman yataka moyo,mm ni wa kuamka usku na kusoma mm dah hata shule skufanyaga hivi[emoji3]
Ahsante sana mkuu, pia pole sana, nafasi yako ipo ila inaonekana bado, kuwa na subira.Hongera saana kaka Mungu akutangulie kwenye majukumu yako mapya
Endelea kutuombea na wengine naona kwa upande wa NAOT ridhiki imenipita kushoto
Daaahh, ila huwa mnani overate sana humu lakini najiona sistahili haya.Utachukua sana tuzo za mfanyakazi bora, una utu na hekima sijapata kuona....
Hongera sana mkuu, wakati wa Mungu ndo wakati sahihi.Ahsante sana mkuu, pia pole sana, nafasi yako ipo ila inaonekana bado, kuwa na subira.
Mimi sahili nilizokandwa ndizo nilizozizimikia zaidi ya hii ila hii ndio nimetoboa, kwa hiyo nafasi yako ipo, ni suala la muda tu.
Nimekumbuka kauli ya Luka Modric kwenye Champion League 2022 waliposhinda kwenye mtoano kwa Aggregate dhidi ya Chelsea. Alisema TO GIVE UP IS NOT AN OPPTION.
Inaweza kufikia hatua ukakataa tamaa kama mimi kwenye hii nafasi ya NAOT ila haipaswi kuwa hivyo, inabidi upush agenda hadi kieleweke.
Kwa hiyo tuendelee kupambana hadi kieleweke
Ahsante sana mkuu. Muda ndio huwa unadetermine mambo, kwa sasa hilo haliwezekani ukizingatia mfumo wa ajira tuliorisishwa na Mzee wa Chattle pia unapigilia msumari.Hongera binafsi nimeajiriwa nikiwa na miaka 18 tu na serikali ya JMT! ka degree nimekapatia mjengoni
Ahsante sana mkuu, ile feeling uliyoipata hatimaye imenipata na mimi[emoji3]Hongera sana kaka.
Mungu ni mwema sana.Hakika huu uzi umekuwa mtamu sana hasa kuona shuhuda kama hizi.Tuendelee kupambana tu.Wakati wa Mungu ni Wakati Sahihi.Daaahh, ila huwa mnani overate sana humu lakini najiona sistahili haya.
Tudhidi kuombeana kila la kheri kwa kila jambo
Pole sana mkuuIliwahi kunitokea hii. Nilichaguliwa written ila kwenye orodha ya kuingia kufanya pepa jina halipo. Walinizungusha sana hadi mwishowe nikaruhusiwa kwa kuongeza jina kwenye orodha kwa kalamu. Majibu ya ile pepa yalivyotoka still jina halikuwepo. Nilipiga simu nikajibiwa wanalifanyia kazi hadi siku ya oral najibiwa kuwa sikufaulu.
Ninachoamini ile pepa haikuwa marked
Ahsante sana mkuuHongera sana mpambanaji.Hakika Mungu ni mwema sana.
Nami Mungu ameniona NAOT nilimaliza chuo tangu 2016,nilikuwa na oral moja tu hiyo zote sifiki oral ya juzi tra ndo niliumia zaidi ,kumbe Mungu bado mwema na mwaminifu,Ni maombi yangu Mungu awakumbuke nanyi pia.