Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Dah had nimelia,hongera sana mwifa,am so so sooo happy for u. Wewe ni ushuhuda unaoishi,Mungu akutangulie dear kwenye majukum yako mapya.
Ila usitutelekeze hum jaman,we still need u[emoji3]
Ahsante sana, Mungu ni mwema.

Humu siondoki ishakuwa sebuleni kwangu, hata majukumu yatakapopamba moto sitaweza kukosa dk 10 za kuja kusalimia humu
 
Finally I made it!

Kutana na Mwifwa- From three times defeat to Champion

Hii ndio ilikuwa safari yangu ya kusaka mrija wa Asali.

Mwaka 2021, safari hii ilishika kasi kwa kuapply mara 8( Sekta binafsi, Wizarani na Tamisemi). Kote niliangukia pua, Sekta binafsi sikubahatika hata kuitwa kwa usahili.

Mwaka 2022, kasi ikaendelea kushika kasi nilipoapply Wizarani na Tamisemi kabla ya kutimkia PSRS, mara hii niliangukia pua pia Wizarani na Tamisemi.

PSRS nilifanya application 5, 4 nikawa shortlisted, moja sikuwa shortlist kwa sababu isiyokuwa ya msingi maana hiyo sababu wangeizingatia nisingekuwa shortlist zile zingine 4.

Kwenye shortlist 4, tatu nikakandwa mfululizo hadi nikakata tamaa, ila wadau wa humu wakanipa moyo na nikapata nguvu ya kwenda kupambana.

Baada ya kwenda kwenye battle nikaingia oral kimasihara. The rest is history, what a joyful in my life history, my eyes are filled with joyful tears.

Join me in celebrating this remarkable history!!
Kaka hongera sana hongera sana hongera sana wakati wa Mungu ni wakati sahihi Mungu alikuandalia mahali panapokufaa.

Tuombee na sisi siku moja tutoe ushuhuda kama huu.
 
Finally I made it!

Kutana na Mwifwa- From three times defeat to Champion

Hii ndio ilikuwa safari yangu ya kusaka mrija wa Asali.

Mwaka 2021, safari hii ilishika kasi kwa kuapply mara 8( Sekta binafsi, Wizarani na Tamisemi). Kote niliangukia pua, Sekta binafsi sikubahatika hata kuitwa kwa usahili.

Mwaka 2022, kasi ikaendelea kushika kasi nilipoapply Wizarani na Tamisemi kabla ya kutimkia PSRS, mara hii niliangukia pua pia Wizarani na Tamisemi.

PSRS nilifanya application 5, 4 nikawa shortlisted, moja sikuwa shortlist kwa sababu isiyokuwa ya msingi maana hiyo sababu wangeizingatia nisingekuwa shortlist zile zingine 4.

Kwenye shortlist 4, tatu nikakandwa mfululizo hadi nikakata tamaa, ila wadau wa humu wakanipa moyo na nikapata nguvu ya kwenda kupambana.

Baada ya kwenda kwenye battle nikaingia oral kimasihara. The rest is history, what a joyful in my life history, my eyes are filled with joyful tears.

Join me in celebrating this remarkable history!!
Hongera sana mwifa ikawe kheri kwako....
 
Hongera sana Mwifwa hakika Mwenyezi Mungu amekupa kile ulichostahili. Furaha niliyopata juu ya makuu yaliyotendeka juu yako it's like kama tulikuwa tunafahamihana. Hakika kijana uligusa maisha ya kila mtu kwa namna ya kipekee. I wish you nothing but the best of lucky in your new journey brother.
Ahsante sana mkuu, Mungu ni mwema, huu ushindi ni wetu sote. Tuendelee kupambana kwa kupeana miongozo kama kawaida yetu humu
 
Nami Mungu ameniona NAOT nilimaliza chuo tangu 2016,nilikuwa na oral moja tu hiyo zote sifiki oral ya juzi tra ndo niliumia zaidi ,kumbe Mungu bado mwema na mwaminifu,Ni maombi yangu Mungu awakumbuke nanyi pia.
Hongera mungu anajua kipi ni bora kwako nenda naot pia ni kuzuri tu hasa ukiwa mkaguzi wa hesabu misafari kibao
 
Hongera saana kaka Mungu akutangulie kwenye majukumu yako mapya
Endelea kutuombea na wengine naona kwa upande wa NAOT ridhiki imenipita kushoto
Ahsante sana mkuu, pia pole sana, nafasi yako ipo ila inaonekana bado, kuwa na subira.

Mimi sahili nilizokandwa ndizo nilizozizimikia zaidi ya hii ila hii ndio nimetoboa, kwa hiyo nafasi yako ipo, ni suala la muda tu.

Nimekumbuka kauli ya Luka Modric kwenye Champion League 2022 waliposhinda kwenye mtoano kwa Aggregate dhidi ya Chelsea. Alisema TO GIVE UP IS NOT AN OPPTION.

Inaweza kufikia hatua ukakataa tamaa kama mimi kwenye hii nafasi ya NAOT ila haipaswi kuwa hivyo, inabidi upush agenda hadi kieleweke.

Kwa hiyo tuendelee kupambana hadi kieleweke
 
Ahsante sana mkuu, pia pole sana, nafasi yako ipo ila inaonekana bado, kuwa na subira.

Mimi sahili nilizokandwa ndizo nilizozizimikia zaidi ya hii ila hii ndio nimetoboa, kwa hiyo nafasi yako ipo, ni suala la muda tu.

Nimekumbuka kauli ya Luka Modric kwenye Champion League 2022 waliposhinda kwenye mtoano kwa Aggregate dhidi ya Chelsea. Alisema TO GIVE UP IS NOT AN OPPTION.

Inaweza kufikia hatua ukakataa tamaa kama mimi kwenye hii nafasi ya NAOT ila haipaswi kuwa hivyo, inabidi upush agenda hadi kieleweke.

Kwa hiyo tuendelee kupambana hadi kieleweke
Hongera sana mkuu, wakati wa Mungu ndo wakati sahihi.

Naomba mrejesho, oral mlikua wangapi na nafasi zilikua ngapi?
 
Hongera binafsi nimeajiriwa nikiwa na miaka 18 tu na serikali ya JMT! ka degree nimekapatia mjengoni
Ahsante sana mkuu. Muda ndio huwa unadetermine mambo, kwa sasa hilo haliwezekani ukizingatia mfumo wa ajira tuliorisishwa na Mzee wa Chattle pia unapigilia msumari.

Binafsi nipo kwenye early 30, mfumo usingetikiswa ningeingia kwenye mrija nikiwa kwenye late 20.

This is all about God's plan, tunapaswa kushukuru pia
 
Iliwahi kunitokea hii. Nilichaguliwa written ila kwenye orodha ya kuingia kufanya pepa jina halipo. Walinizungusha sana hadi mwishowe nikaruhusiwa kwa kuongeza jina kwenye orodha kwa kalamu. Majibu ya ile pepa yalivyotoka still jina halikuwepo. Nilipiga simu nikajibiwa wanalifanyia kazi hadi siku ya oral najibiwa kuwa sikufaulu.
Ninachoamini ile pepa haikuwa marked
Pole sana mkuu
 
Nami Mungu ameniona NAOT nilimaliza chuo tangu 2016,nilikuwa na oral moja tu hiyo zote sifiki oral ya juzi tra ndo niliumia zaidi ,kumbe Mungu bado mwema na mwaminifu,Ni maombi yangu Mungu awakumbuke nanyi pia.

Hongera sana ndugu,

Ukawe mtumishi mwenye maadili katika majukumu yako.

NB: Kumbuka kutoa Shukurani na kujipongeza kwa ushindi huo.
 
Back
Top Bottom