Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hongera sana kaka, hakika tumefurahi aisee... Umetupa moyo wengi hatimae na wewe unaenda kulamba asali hakika ni furaha ilioje
Ahsante sana mkuu, Mungu ni mwema sana anatufanya tulambe asali mmoja baada ya mwingine
 
Ahsante sana mkuu, tuishi kwa wema wakati wote
 
Pole sana mkuu, Be strong, haikuwa riziki yako, riziki yako ipo muda ukifika hamna wa kuizuia.

Tuendelee kupambana
 
Uliwahi kusikia ripoti ya CAG ambapo wanaume walionekana kupata huduma ya kujifungua kwa Bima ya Afya?[emoji3][emoji3][emoji3]

Kwa hiyo accountant anaweza kubaini hili?
Watu Wengi wanajua Auditing ni Accounting and finance, Auditing ni kitu kipana Sana, na Kuna Auditing ambazo ziko very specific eg Pharmacy, Medical, Water resources,Ujenzi, ndio maana unakuta NAOT Kuna engineers,MD,Teachers, Pharmacists, Quantity Surveyors
 
Ahsante sana mkuu, mimi nipo hapa ni nyumbani siwezi kupakimbia
 
Yaan kaka nimefarijika as if nakufaham kwa sura mzee baba[emoji3][emoji3], karibu sana kwenye Grid ya taifa ya asali . Hongera sana bro
Ahsante sana mkuu kwa kunikaribisha. Mimi ndio huyo kwenye Avatar jaribu kuzoom unaweza kunifahamu sura ya form one hiyo[emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…