Status yangu hiyo. Nilipiga oral December, nasubiria muujiza.Hakika ww utakuwa mkandaji sio bureee, kuna kitu kipya tumepata hapa"" kuna selected for oral za aina 2""
Ya kwanza amabyo yote ni ya kijani after written.
Na ya pili ambayo ni only "" selected"" ndo kijani the rest words are black in colour. Baada ya oral.
Ambaye amawai kuiona "" selected for oral ya kijani after written""" please share with us picha, so we can differentiate the two.
Ahsante sana mkuu, mapambano yaendeleeHongera sana wewe ni mmoja wa mfano wa vijana wapambanaji, hujawahi kukata tamaa pamoja na kukandwa sana hukôm nyuma ulikuwa mhamasishaji mzuri wa mapambano hiyo spirit yako ya mapambano o tuwe nayo wote
Ahsante sana mkuuHongera sana, ukawe mtumishi mwema.
Mungu ni mwema wakati wote!..
Watu Wengi wanajua Auditing ni Accounting and finance, Auditing ni kitu kipana Sana, na Kuna Auditing ambazo ziko very specific eg Pharmacy, Medical, Water resources,Ujenzi, ndio maana unakuta NAOT Kuna engineers,MD,Teachers, Pharmacists, Quantity Surveyors
Zari liliniangukia tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Inaonekana ulikua full nondo[emoji119]
Hapana, hadi taratibu zikamilike ndipo niondoke.So mwifa ushaandika barua ya kuacha huko unakofanya,ama ndo unamute hadi process za NAOT zikamilike
Hivi ile oral uliyofanya kabla ya NAOT, placement yake bado?Hawa wamegawana gawana though wote ni mastate attorney
Hahahahahaa, nitakuja hasa K/koo, imebaki suala la timing tuNa uje Kunduchi uchukue saa ya kiofisi ofisi ata kama hutumiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Hapa sasa ndio umemaliza na kukata mzizi wa fitina.Watu Wengi wanajua Auditing ni Accounting and finance, Auditing ni kitu kipana Sana, na Kuna Auditing ambazo ziko very specific eg Pharmacy, Medical, Water resources,Ujenzi, ndio maana unakuta NAOT Kuna engineers,MD,Teachers, Pharmacists, Quantity Surveyors
Upande wa Afya, mojawapo ya muongozo wa Auditing ndio huu.Ni kweli mm pia nilienda kufanya written ya mhandisi wa maji daraja la pili(NAOT) isivyo bahati sikufanikiwa kufika kwenye oral marks hazikutosha.
Ila nilikuwa najiuliza sana hivi yani mwajiri ni ofisi ya mkaguzi wa serikali nilikuwa natarajia wangehitajika watu wa kada hizo hususani watu wa uchumi lakini posts naona zilikuwa nyingi za kada mbalimbali yani nikawa nashindwa kupata majibu kumbe Auditing ni li package kubwa sana aisee.
-Yeah hebu chukua mfano rahisi unataka kujua ufanisi wa Machine ya MRI,CT SCAN, ukiwa umesomea Accounting utaweza kujua ufanisi wa hizo machine? Hapo automatically atahitajika Biomedical engineer ndio ataweza kujua efficiency ya hizo machineHapa sasa ndio umemaliza na kukata mzizi wa fitina.
Ahsante kwa muongozo mkuu
Humo ndani nadhani hadi mambo ya MTUHA yamo ambayo kama hujasomea mambo ya afya ni vigumu kuyaelewaUpande wa Afya, mojawapo ya muongozo wa Auditing ndio huu.View attachment 2476558
DuuhUliwahi kusikia ripoti ya CAG ambapo wanaume walionekana kupata huduma ya kujifungua kwa Bima ya Afya?[emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa hiyo accountant anaweza kubaini hili?
Kwa mbaaaaaali naanza elewa,Uliwahi kusikia ripoti ya CAG ambapo wanaume walionekana kupata huduma ya kujifungua kwa Bima ya Afya?[emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa hiyo accountant anaweza kubaini hili?
Unashangaa nnDuuh
Kweli sku yako ikifka imefika.Zari liliniangukia tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna swali nilijiumauma sana ila point nilifikisha 5
Hapo saaafi,huku unaendelea kuvuta salaryHapana, hadi taratibu zikamilike ndipo niondoke.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]na shoo jana ukapewa yakibabe kabisaHahahhaaa, hongera sana mkuu.
Mimi jana placement imenikuta nikiwa kwenye gari natoka kijiweni.
Nilipoona jina, fast nikamtumia Mama Junior wangu pdf halafu nikampigia moja kwa moja ili ajue.
Kufika sasa nyumbani nikakuta anarukaruka kwa furaha, yaani furaha aliyokuwa nayo ilidhidi furaha yangu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wanawake wanafurahi kwa vitendo, imagine anaruka ruka kabisa
nakwel,tena iwe nje ya hapaWacha nami nisubrie asali yangu,za watu zitanipalia bure[emoji2088]