Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hakika ww utakuwa mkandaji sio bureee, kuna kitu kipya tumepata hapa"" kuna selected for oral za aina 2""

Ya kwanza amabyo yote ni ya kijani after written.

Na ya pili ambayo ni only "" selected"" ndo kijani the rest words are black in colour. Baada ya oral.

Ambaye amawai kuiona "" selected for oral ya kijani after written""" please share with us picha, so we can differentiate the two.
Status yangu hiyo. Nilipiga oral December, nasubiria muujiza.
IMG_20230110_181640.jpg
 
Watu Wengi wanajua Auditing ni Accounting and finance, Auditing ni kitu kipana Sana, na Kuna Auditing ambazo ziko very specific eg Pharmacy, Medical, Water resources,Ujenzi, ndio maana unakuta NAOT Kuna engineers,MD,Teachers, Pharmacists, Quantity Surveyors

Ni kweli mm pia nilienda kufanya written ya mhandisi wa maji daraja la pili(NAOT) isivyo bahati sikufanikiwa kufika kwenye oral marks hazikutosha.

Ila nilikuwa najiuliza sana hivi yani mwajiri ni ofisi ya mkaguzi wa serikali nilikuwa natarajia wangehitajika watu wa kada hizo hususani watu wa uchumi lakini posts naona zilikuwa nyingi za kada mbalimbali yani nikawa nashindwa kupata majibu kumbe Auditing ni li package kubwa sana aisee.
 
Watu Wengi wanajua Auditing ni Accounting and finance, Auditing ni kitu kipana Sana, na Kuna Auditing ambazo ziko very specific eg Pharmacy, Medical, Water resources,Ujenzi, ndio maana unakuta NAOT Kuna engineers,MD,Teachers, Pharmacists, Quantity Surveyors
Hapa sasa ndio umemaliza na kukata mzizi wa fitina.

Ahsante kwa muongozo mkuu
 
Ni kweli mm pia nilienda kufanya written ya mhandisi wa maji daraja la pili(NAOT) isivyo bahati sikufanikiwa kufika kwenye oral marks hazikutosha.

Ila nilikuwa najiuliza sana hivi yani mwajiri ni ofisi ya mkaguzi wa serikali nilikuwa natarajia wangehitajika watu wa kada hizo hususani watu wa uchumi lakini posts naona zilikuwa nyingi za kada mbalimbali yani nikawa nashindwa kupata majibu kumbe Auditing ni li package kubwa sana aisee.
Upande wa Afya, mojawapo ya muongozo wa Auditing ndio huu.
Screenshot_20221008-072732.jpg
 
Hapa sasa ndio umemaliza na kukata mzizi wa fitina.

Ahsante kwa muongozo mkuu
-Yeah hebu chukua mfano rahisi unataka kujua ufanisi wa Machine ya MRI,CT SCAN, ukiwa umesomea Accounting utaweza kujua ufanisi wa hizo machine? Hapo automatically atahitajika Biomedical engineer ndio ataweza kujua efficiency ya hizo machine
 
Hahahhaaa, hongera sana mkuu.

Mimi jana placement imenikuta nikiwa kwenye gari natoka kijiweni.

Nilipoona jina, fast nikamtumia Mama Junior wangu pdf halafu nikampigia moja kwa moja ili ajue.

Kufika sasa nyumbani nikakuta anarukaruka kwa furaha, yaani furaha aliyokuwa nayo ilidhidi furaha yangu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Wanawake wanafurahi kwa vitendo, imagine anaruka ruka kabisa
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]na shoo jana ukapewa yakibabe kabisa
 
Back
Top Bottom