Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wazo zuri ngoja namimi niwe miongoni mwa watakao pata muongozo
 
Wazo zuri sana
 
Ndugu zangu Naomba kuuliza hivi mamlaka za maji ajira zao zinatoka utumishi au mamlaka zina ajiri wao kama wao?

Mkuu kwa experience yangu mara nyingi nafasi huwa zinatangazwa officially utumishi ila sjawahi kuona sana matangazo ya mamlaka za maji mijini mfano DAWASA,DUWASA.. n.k

Ila RUWASA juzi tu nafasi mbalimbali zilitangazwa watu wakaomba na written plus oral wameshafanya nadhani wanasubri placements tu.
 

Shukran mkuu kwa ufafanuzi mzuri nilikuwa sjui hili yani
 
Asante mkuu matangazo sija bahatika kuyaona kwa kada hii ya maji.. Umenipa mwanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…