Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mi naugulia tu maumivu huku, LGA's and MDA's wamegoma kuniita interview kigezo eti sijaweka picha wakati interview zaidi ya 10 nimeitwa interview na sijawahi badili picha hata siku moja. Nimekosa kazi ya security officer II utadhani ndio imenipa mikosi😭😭😭
 
Pole mkuu usikate tamaa nafasi Yako IPO inakuja
 
Daaah! Hii lunch naomba unitunzie.

Tukirudi kwenye mada watu wanajisahau sana yaani kumdharau mwenzio hivi hivi tuu na ukaona ni sawa ujue hapo upstairs kuna bunch of farts.
unamdharau mtu usiyemjua,yani inakera sana huwa sitakagi kuwajibugi watu wa aina ile hata kama hakinihusu,ila kwa mwana hapo juu nimechefukwa sana
 
Hello, pole sana, wapigie simu wafanye review ama kama upo karibu nenda kwenye office zao
 
Pole sana mkuu, suala la kuwatafuta ili wakuweke kwenye majina ya nyongeza, limegonga mwamba?
 
Hello, pole sana, wapigie simu wafanye review ama kama upo karibu nenda kwenye office zao
Nimeenda ofisini kwao siku ya kwanza niliambiwa niwaambie emails yangu nikafanya ivyo nikaambiwa nitajibiwa kwa Email lakini ikawa kimya, baada ya siku kadhaa nikaenda nikamkuta mwingine nilichokutana nacho ni dharau na majibu ya kebehi leo wametoa majina ya nyongeza lakini jina langu halipo. Nimateso sana afu ni sehem niliyotegemea sana
 
Hello, pole sana, wapigie simu wafanye review ama kama upo karibu nenda kwenye office zao
Nimeenda ofisini kwao siku ya kwanza niliambiwa niwaambie emails yangu nikafanya ivyo nikaambiwa nitajibiwa kwa Email lakini ikawa kimya, baada ya siku kadhaa nikaenda nikamkuta mwingine nilichokutana nacho ni dharau na majibu ya kebehi leo wametoa majina ya nyongeza lakini jina langu halipo. Nimateso sana afu ni sehem niliyotegemea sana
 
Kwa nn wkujibu kwa dharau kebehi ilihali ni haki yako kuhudumiwa in a polite way its not fair....pole san kiongozi
 
Wafuate tena na uwombe mrejesho wa email.

Kama umemkuta mtu mwingine, hilo ndio limetoa kwenye shortlist ambapo zamani uliitwa ila sasa aliposhortlist mwingine ndio akakuzingua.

Ipambanie hii nafasi mkuu usikate tamaa na hivyo vikwazo
 
Wafuate tena na uwombe mrejesho wa email.

Kama umemkuta mtu mwingine, hilo ndio limetoa kwenye shortlist ambapo zamani uliitwa ila sasa aliposhortlist mwingine ndio akakuzingua.

Ipambanie hii nafasi mkuu usikate tamaa na hivyo vikwazo
Nifanyeje hapo kama kuna njia nyingine naomba ushauri maana interview jumapili.
 
dah pole sana, roho imeniuma mnoooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…