Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wakuu naombeni msaada wa mawazo hapa, katika haya majina yaliyoitwa mwenye usahili j.mosi kuna jamaa yangu ameitwa na anapaswa kwenda kufanyia interview UDSM

Sasa changamoto inakuja ni hadi saizi hajawekewa namba ya usahili kwenye account yake, wengine wamewekewa ila yeye kila akicheki Hola

Sasa swali, je asipowekewa namba na ilhali ameitwa anapaswa kufanya nini? Je anaweza kwenda eneo la tukio siku ya usahili pasipokuwa na namba? Na je akifika afanye nini kabla ya kuingia kwenye interview?

Natanguliza Shukrani.
 
Kesho awasiliane nao aeleze hilo tatizo lake, watamtatulia. Pia awepo Dar tayari kwa pepa
 
Awasiliane nao kupitia njia ipi mkuu maana wale jamaa ile namba yao ya customer care ni kama ya urembo tu
Ajitahidi kesho aende kwenye office zao, ikishindikana na kwenye paper aende mapema aeleze tatizo lake kwa msimamizi mkuu
 
Ajitahidi kesho aende kwenye office zao, ikishindikana na kwenye paper aende mapema aeleze tatizo lake kwa msimamizi mkuu

Akishindwa kumaliza tatizo mapema siku ya usaili atakwenda kupoteza muda na gharama tu.
 
Mkuu upo,umekuwa adimu sana,au una maandalizi ya Usaili Mwingine...
Nipo mkuu, Sina Maandalizi na pepa ingawa Niko na Reveceid 1..
Nasubiria placements tu hapa.. maana Kila jioni/usiku lazima niingie kwenye Ile web yetu pendwa Ile maana wanapenda kupandisha placements Usiku
 
Ni
Po mkuu, Sina Maandalizi na pepa ingawa Niko na Reveceid 1..
Nasubiria placements tu hapa.. maana Kila jioni/usiku lazima niingie kwenye Ile web yetu pendwa Ile maana wanapenda kupandisha placements Usiku
Kaka Mungu ni mwema,tuendelee kusubiri hizo placements kama utakuwa Wakati wetu Tutapata.Mungu hawezi kutuacha.
Kwa kuwa placement Bado hawajatoa ngoja nikapambane na usaili Mwingine nilioitwa.
 
Kaka Mungu ni mwema,tuendelee kusubiri hizo placements kama utakuwa Wakati wetu Tutapata.Mungu hawezi kutuacha.
Kwa kuwa placement Bado hawajatoa ngoja nikapambane na usaili Mwingine nilioitwa.
Kama una Usaili we kapige mkuu, hata me nikiitwa hii received soon lazima niende maana ni taasisi nzuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…