Orosso
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 949
- 2,284
Habari Ndg. Mtumishi. Karibu jukwaani baada ya kupokea 📞📲Kwahiyo mmehamia kwenye lunch na mihogo🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari Ndg. Mtumishi. Karibu jukwaani baada ya kupokea 📞📲Kwahiyo mmehamia kwenye lunch na mihogo🤣🤣🤣
Wewe hujaelewa nilizungumzia elements za INCOME STATEMENT, sasa huyo jamaa kakurupuka kajaza ma ASSETS, LIABILITY nk, ndio maana nikamuuliza amepata chakula cha mchana kweli?Sawa Mkuu nafikiri ulikuwa na lunch nzuri sana Serena Hotel.
Afisa wa TRA anatusema Wala mihogo 🤣🤣Habari Ndg. Mtumishi. Karibu jukwaani baada ya kupokea 📞📲
We jamaa hiko ndio nini, Military training ndio kitu cha maana? Nani ambaye hajapitia huo MCHAKAMCHAKA?Mkuu nina military training nimefundishwa namna ya ku battle na physical and Mental pressure nina uhakika nikiamua kutoboka ubongo hautaweza kunivumilia, ndo maana mara zote huwa nakuwa optimistic na majibu yangu, don't ever dare me SON.
Mtaalam nakudai maswali ya oral unakumbuka eeKwahiyo mmehamia kwenye lunch na mihogo🤣🤣🤣
Nakumbuka ngoja niandike niliyowahi kuulizwaMtaalam nakudai maswali ya oral unakumbuka ee
PpNakumbuka ngoja niandike niliyowahi kuulizwa
Jamaa hautafanikiwa kunivusha kwenye mstari maana hautanisahau nakuambia, una arrogance sana.We jamaa hiko ndio nini, Military training ndio kitu cha maana? Nani ambaye hajapitia huo MCHAKAMCHAKA?
Punguza njaa na makasiriko, tuko hapa kufundishana, shida zako usizilete hapa.
Yaan kuambiwa umepata chakula cha mchana ni kitu cha kupanik? Afu mbona hujaambiwa wewe?
Vumilia utapata tu ajira, ukiingia kwenye mitandao acha shida na manyanyaso ya familia yenu na uje huku kwa bashasha na amani ya moyo utafurahia sana maisha.
Kaka hao huwawezi kwa maana wamecrem uhasibuJamaa hautafanikiwa kunivusha kwenye mstari maana hautanisahau nakuambia, una arrogance sana.
Acha nimalize kwa kusema umeshinda.
Kaka hao huwawezi kwa maana wamecrem uhasibu
Sawa mkuu, pole kwa kukumbwa na hivyo vikwanzo hivyoIlikua jana,sikutokea mkuu, kuna sababu moja na mbili zilikua kikwazo.
Hujapokea simu mkuu[emoji338][emoji390]
1.Different between physical and logical network
Shida ni kwamba sijakuambia wewe, au una ID mbili mkuu??I hate huwa sipendi ugomvi na huwa si entertain abuse kwangu ama kwa mtu yoyote yule, binadamu wote ni sawa hata tukipishana kauli kitu cha msingi ni kulinda utu wa mtu, kwanza hii interview hata hainihusu ila niliona nitoe mawazo yangu kama mshikadau.
Nimeshangazwa na huyu jamaa namna alivyo na kiburi cha uzima ila acha nimpotezee, maana ha deserve my attention sababu anajiona yupo well off. I rest my case here.
Hali ni mbayaa