Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 2,733
- 3,561
Ni kuendelea kuwa wapole tu ila mkuu una oral mbili umezipiga lazima moja wapo utachukuliwa kata veta na IAEUtumishi naona hawataki kutoa placement
Ngoja waje wazee wa Busara wakuambiie upunguzeee kulalamikaaaaJumanne ya mwezi September inaondokaaa taratiiiiibu,,,,,,,,,,Bila buguza niko hapa napata Gahawa hukuna mwenye dodoso za placement za kushushia Gahawa hapa.......
Yule wa juma nne na jumamosi aitwe kwe kikaoTulishane tena Matangopori
Ijumah au Jmoc. Hii
Hilo swala la kutoa pmoj na Hizi n ngumu mkuu.
Ukiona leo kimya kufika ijumaa kimya tusubili placements ya pamoja kuanzia tarehe 18 ha 31 wa kumi
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Haya Mkeka uwe mwisho wake.Naona placement ishatoka sasa
Ndio Tena swali like lile la veta limerudi IAENi kuendelea kuwa wapole tu ila mkuu una oral mbili umezipiga lazima moja wapo utachukuliwa kata veta na IAE
Hivi ata veta muliambiwa muandike mada mkafundishe kwenye panel kama ile IAE?
Mungu kasaidia mkuuu nimetoboa aiseeeWaliopata hongereni mkalitumikie taifa sasa
Hongera sana na kila la kheri, ukawe mtumishi mwenye kuzingatia maadili na miiko ya kiutumishi.Wakuu mungu mkubwa nimetoboaaaaa
Hongera mkuu wapi veta au?Mungu kasaidia mkuuu nimetoboa aiseee
Hongera kiongozi usitusahau ya vocha sasaπππππWakuu mungu mkubwa nimetoboaaaaa
Mungu kasaidia mkuuu nimetoboa aiseee
Mkuu hapa sitatoka mkuu mie nitakuwepo kuwapa moyo wenzangu tusiokuwa na connection tupambane mkuu naanza na wewe mkuu usikate tamaa soma hizo theory na terminology mkuu maana ndo maswali ya utumishi komaa nayo unaweza Tenga hata dakika 20 kwa siku inatosha kupitia pitia hata vi types vya virusesHongera sana na kila la kheri, ukawe mtumishi mwenye kuzingatia maadili na miiko ya kiutumishi.
Usisahau kuja kutujulia hali hapa ambao bado tunaendelea kupambania mrija wa Asali
Congrats more kk all the best,,,Mungu kasaidia mkuuu nimetoboa aiseee
Sasa naanza kuamini ipo siku nitatoboa kama wewe umeweza bila connectionMkuu hapa sitatoka mkuu mie nitakuwepo kuwapa moyo wenzangu tusiokuwa na connection tupambane mkuu naanza na wewe mkuu usikate tamaa soma hizo theory na terminology mkuu maana ndo maswali ya utumishi komaa nayo unaweza Tenga hata dakika 20 kwa siku inatosha kupitia pitia hata vi types vya viruses
Wewe nilijua lazima upate mkuu Kila la kheri on dutiesMungu kasaidia mkuuu nimetoboa aiseee