Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ni kuendelea kuwa wapole tu ila mkuu una oral mbili umezipiga lazima moja wapo utachukuliwa kata veta na IAE
Hivi ata veta muliambiwa muandike mada mkafundishe kwenye panel kama ile IAE?
Ndio Tena swali like lile la veta limerudi IAE
 
Hongera sana na kila la kheri, ukawe mtumishi mwenye kuzingatia maadili na miiko ya kiutumishi.

Usisahau kuja kutujulia hali hapa ambao bado tunaendelea kupambania mrija wa Asali
Mkuu hapa sitatoka mkuu mie nitakuwepo kuwapa moyo wenzangu tusiokuwa na connection tupambane mkuu naanza na wewe mkuu usikate tamaa soma hizo theory na terminology mkuu maana ndo maswali ya utumishi komaa nayo unaweza Tenga hata dakika 20 kwa siku inatosha kupitia pitia hata vi types vya viruses
 
Sasa naanza kuamini ipo siku nitatoboa kama wewe umeweza bila connection
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…