Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kama ulikua hujui, note hilo. Hata TRA kuna wakati wanachukuaga intern wao pale wanapopewa kibali cha ajira. Nafasi zitatangazwa zote ila baadhi ya watu hawatapangiwa kazi na psrs, bali TRA.
Nna wajua intern wengi TRA sijui kwa kadi nyingine ila kwa kada yangu lazima uingie kwenye interview PSRS hakuna mkato
 
Kama ulikua hujui, note hilo. Hata TRA kuna wakati wanachukuaga intern wao pale wanapopewa kibali cha ajira. Nafasi zitatangazwa zote ila baadhi ya watu hawatapangiwa kazi na psrs, bali TRA.
Hizo ni kazi za mkataba temporary within taasisi renewable within six months au 1 year....mimi mwenyewe nilishawahi pitia humo ila ajira ya kudumu lazima upite PSRS au uwe na connection nzito.
 
Hizo ni kazi za mkataba temporary within taasisi renewable within six months au 1 year....mimi mwenyewe nilishawahi pitia humo ila ajira ya kudumu lazima upite PSRS au uwe na connection nzito.
Taasisi zenye vibali vya kuajiri wenyewe kama tanesco nk ndo wanaajiri kwa style hiyo ila wengine unaweza kua unajitolea sehemu fulani ikatangazwa nafasi yako na usitoboe akaja mtu mwingine ambaye ulifanya naye interview, hizi case zimetokea mara mbili kwenye nafanya internship akiwepo mpwa wa aliyekua mkurugenzi mtendaji

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Yah inawezekana kabisa hata kama unafanya internship hio taasisi na ukifka oral na bado wakakutema
 
Yn mtu anapat kazi taasisi A haridhiki anaenda kufny usaili tena anapata B hardhiki anaenda tena anapata C wengne wansbria tu mpk jamaa aridhike kweli dunia haiko fair kbsa
DUnia haiko fair au wewe ndio hauko fair !?
Huyo aliefanya usaili zaidi ya Taasisi moja si ametumia haki yake ambayo na wewe unayo ?
Tuache kulialia haitokaa itusaidie kitu tupigeni msuli ili Kila saili na sisi tutoboe kama huyo unaemtolea mfano
 
Ukiwa na placement zaidi ya moja mzee Kuna siku unapewa zakuripoti kazini zikipita hujaripoti hiyo nafasi yako anapewa mtu mwingine. Hata awe na placement 100 mwisho wa siku ataenda ripoti sehemu moja
 
Nna wajua intern wengi TRA sijui kwa kadi nyingine ila kwa kada yangu lazima uingie kwenye interview PSRS hakuna mkato

Intern akifanikiwa kwenda oral ametoboa coz wanaointerview ni wafanyakazi wa TRA. Na jamaa angu alikua anapiga intern Ilala pale TRA. Alipiga written akatoboa oral akakutana na maofisa wa2 wa palepale Ilala akapata kazi ilikua ni zile post za mwezi April-2022.

Akanambia interns waliofanikiwa kwenda oral wote walitoboa walipata kazi.
 
Ukiwa na placement zaidi ya moja mzee Kuna siku unapewa zakuripoti kazini zikipita hujaripoti hiyo nafasi yako anapewa mtu mwingine. Hata awe na placement 100 mwisho wa siku ataenda ripoti sehemu moja
Shida sio kwenda Moja lkn Usitegemee Nafasi Moja tu kweny hizo Kaz 99 alizopata zinaweza kufanyiwa Replacement (au Readvertised) Kwa muda mfupi
 
Ukweli ni kwamba oral wote walichukuliwa
 
Wazee wa TPDC tupeni mrejesho

Sent from my SM-A12

TANESCO wanapitia psrs , taasisi zinazoajiri zenyewe nadhani ni mbili tu ambao ni BOT na Tanroad ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…