Twinawe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 2,431
- 5,336
Hiyo ngoma inaenda hadi wa saba mwaka mpya wa fedhaYapata siku 20 sasa majibu ya written MDAs na LGAs hayajatolewa na dalili hakuna
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ngoma inaenda hadi wa saba mwaka mpya wa fedhaYapata siku 20 sasa majibu ya written MDAs na LGAs hayajatolewa na dalili hakuna
Kwa "case" ya oral ni kawaida. Hili la written kuchukua muda mrefu hivi si la kawaida.Wenzio tumefanya oral tokea Nov 2022 ya MDAs na LGAs na mpaka Leo hakuna majibu
Wanajihusisha na nini kwanza hawa? tupo nao karibu hapa sijajua wanachojihusisha nachoTreasury square hivi wale jamaa wanajiri kupitia wapi?
Karibu sana mkuuKazi iendelee huku nadhan tutakutana na sisi wasaka mirija [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hiyo nadhani mm ni HAZINA. si ndo walipa mishahara hao[emoji3][emoji3][emoji3][emoji848][emoji848][emoji848]Wanajihusisha na nini kwanza hawa? tupo nao karibu hapa sijajua wanachojihusisha nacho
Treasury = hazina, nafikiri ni sehem ya wizara ya fedha na mipango.Wanajihusisha na nini kwanza hawa? tupo nao karibu hapa sijajua wanachojihusisha nacho
Shukuran sana nipo hukuhuku dom nasubir kuwakanda [emoji3][emoji3]Karibu sana mkuu
Ni vzr zaid tukaanza na olevel au college kwenye education background ya tell us about yourself wakuu majibu hapo?
Mkuu ndo mshahara wako unapotoka huko.Wanajihusisha na nini kwanza hawa? tupo nao karibu hapa sijajua wanachojihusisha nacho
Skywalker00 nijibu hapo mkuuMkuu ndo mshahara wako unapotoka huko.
Written kuchukua mda mrefu, inategemea na siku ya oral ni lini . Mana Majibu ya written huwa yanatoka siku Moja kabla ya Oral.Kwa "case" ya oral ni kawaida. Hili la written kuchukua muda mrefu hivi si la kawaida.
Uwe unafuatilia kwa makini ili ujue kinachojadiliwa kimeanzia wapi.Written kuchukua mda mrefu, inategemea na siku ya oral ni lini . Mana Majibu ya written huwa yanatoka siku Moja kabla ya Oral.
Kwan oral kweny ratiba inaonesha ni tarehe ngap?
Majibu labda wanasubiria wacompile na haya ya sasa watoe pamojaWenzio tumefanya oral tokea Nov 2022 ya MDAs na LGAs na mpaka Leo hakuna majibu
wewe unakariri, Ivi kweli kama kulikua na ratiba ya oral angeuliza ? na kwani kila writen lazima waseme oral ni lini. kama ndivyo kwa nini aseme 20dyz zimepita bila majibu na akati ratiba ya oral ipo,,,,,,Written kuchukua mda mrefu, inategemea na siku ya oral ni lini . Mana Majibu ya written huwa yanatoka siku Moja kabla ya Oral.
Kwan oral kweny ratiba inaonesha ni tarehe ngap?
cha kukuongezea sio kila usaili majibu ya writen hutoka siku moja kabla pole sana mengine hutoka wiki moja kabla ya oralWritten kuchukua mda mrefu, inategemea na siku ya oral ni lini . Mana Majibu ya written huwa yanatoka siku Moja kabla ya Oral.
Kwan oral kweny ratiba inaonesha ni tarehe ngap?
[emoji23][emoji3] tunasubir za chini ya kapet walizonazo wadau za uakika lakiniHili suala la kuchelewa kwa placement daah...November, December now tupo February sio poa.
Kuna placement za HESLB still hazijatolewa, oral yao ilipishana siku moja tu na NAOT.Hiyo ngoma inaenda hadi wa saba mwaka mpya wa fedha
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app