Pole sana mkuu, haikuwa bahati yako, nafasi yako ipo ila muda bado haujafika, kuwa na subira endelea kupambana, one day yes!Habari ya jioni Wana jf,
Hongereni Kwa wote mliolamba asali, BINAFSI sijabahatika.
Nilikuwa nasubiria placement HESLB nafasi ya Loan Officer.
Kwa mnaosubiri placement Pdf ndio kila ktu, stutus si za uhakika/ kutegemea.
Stutus kwenye website ni SELLECTED FOR Oral ya kijani na kwenye app ni SELLECTED FOR null.
Zitakuwepo, sisi wageni bado hatujajua yoteKwani huko hakuna overtime? (EXtra duty allowance)
Hongera sana mkuu.
Umepata HESLB ?
Habari ya jioni Wana jf,
Hongereni Kwa wote mliolamba asali, BINAFSI sijabahatika.
Nilikuwa nasubiria placement HESLB nafasi ya Loan Officer.
Kwa mnaosubiri placement Pdf ndio kila ktu, stutus si za uhakika/ kutegemea.
Stutus kwenye website ni SELLECTED FOR Oral ya kijani na kwenye app ni SELLECTED FOR null.
Hongera sana mkuu, kawe mtumishi mwemaYaah
Hongera mkuuu. Enjoy ur day.Yaah
Hongera sana,Mungu akusaidie kwenye majukumu yako mapya.Yaah
Kikubwa ni kutokata tamaa, i hope tutarudi tena na tena mpaka siku yetu itapofika, na haiko mbali, nafasi yako ipo njiani kaka.Habari ya jioni Wana jf,
Hongereni Kwa wote mliolamba asali, BINAFSI sijabahatika.
Nilikuwa nasubiria placement HESLB nafasi ya Loan Officer.
Kwa mnaosubiri placement Pdf ndio kila ktu, stutus si za uhakika/ kutegemea.
Stutus kwenye website ni SELLECTED FOR Oral ya kijani na kwenye app ni SELLECTED FOR null.
Twaja kunyumbua utendaji kazi wenu, kaeni mkao wa kula[emoji3][emoji3][emoji3]Hongera mkuuu. Enjoy ur day.
Njooni tu nimejipanga,Twaja kunyumbua utendaji kazi wenu, kaeni mkao wa kula[emoji3][emoji3][emoji3]
Hongera sana mkuu..Yaah
Pole sana mkuu, haikuwa bahati yako, nafasi yako ipo ila muda bado haujafika, kuwa na subira endelea kupambana, one day yes!
Kikubwa ni kutokata tamaa, i hope tutarudi tena na tena mpaka siku yetu itapofika, na haiko mbali, nafasi yako ipo njiani kaka.
HESLB mpk Leo wametoa na Baadhi ya wanasheria Piah wametoaKuna placement za HESLB still hazijatolewa, oral yao ilipishana siku moja tu na NAOT.
Since decmna muda ghan mpaka saivi mnasubir placement??
Hongera sana ndugu yangu, kapige kazi nadhani unaelewa how its hard to stay unemployed. KaziiendeleeYaah
Sikuwa online asee..ila Mungu ni mwema sanaAtupe mrejesho huyu mwamba
Hongera sana mkuuHa ha ha ha..ukiona mtu mzima anacheka hivi elewa tu mkuu..tunashukuru Mungu nasi tumekufuata huko kwenye mirija ya asali.
Hongera sana mkuu, karibu sana. Kawe mtumishi mwema.Ha ha ha ha..ukiona mtu mzima anacheka hivi elewa tu mkuu..tunashukuru Mungu nasi tumekufuata huko kwenye mirija ya asali.