Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Habari ya jioni Wana jf,

Hongereni Kwa wote mliolamba asali, BINAFSI sijabahatika.

Nilikuwa nasubiria placement HESLB nafasi ya Loan Officer.

Kwa mnaosubiri placement Pdf ndio kila ktu, stutus si za uhakika/ kutegemea.

Stutus kwenye website ni SELLECTED FOR Oral ya kijani na kwenye app ni SELLECTED FOR null.
Pole sana mkuu, haikuwa bahati yako, nafasi yako ipo ila muda bado haujafika, kuwa na subira endelea kupambana, one day yes!
 
Habari ya jioni Wana jf,

Hongereni Kwa wote mliolamba asali, BINAFSI sijabahatika.

Nilikuwa nasubiria placement HESLB nafasi ya Loan Officer.

Kwa mnaosubiri placement Pdf ndio kila ktu, stutus si za uhakika/ kutegemea.

Stutus kwenye website ni SELLECTED FOR Oral ya kijani na kwenye app ni SELLECTED FOR null.

[emoji1317]🥹I know this feeling stay strong
 
Habari ya jioni Wana jf,

Hongereni Kwa wote mliolamba asali, BINAFSI sijabahatika.

Nilikuwa nasubiria placement HESLB nafasi ya Loan Officer.

Kwa mnaosubiri placement Pdf ndio kila ktu, stutus si za uhakika/ kutegemea.

Stutus kwenye website ni SELLECTED FOR Oral ya kijani na kwenye app ni SELLECTED FOR null.
Kikubwa ni kutokata tamaa, i hope tutarudi tena na tena mpaka siku yetu itapofika, na haiko mbali, nafasi yako ipo njiani kaka.
 
Pole sana mkuu, haikuwa bahati yako, nafasi yako ipo ila muda bado haujafika, kuwa na subira endelea kupambana, one day yes!

Asante kaka, nimeshapoa.

Kama kawaida imenibidi niende jogging haraka baada ya kuona tangazo la kazi ili kurudisha mwili ktk hali yake.

Nilishaanza kuona dalili za kuhema Kwa tabu, msongo wa mawazo, kuongea mwenyewe. Lkn sasa nashukuru Niko poa.
 
Back
Top Bottom