Dr Ahmed Albah-Shahwa
JF-Expert Member
- Apr 12, 2022
- 848
- 1,604
Nilikuwa namkumbusha huenda kashasahau, hata TRA walifanya tarehe 3, iyo ya UDOM inawezekana ikawahi hawana mambo mengiHahahaah anafanyia PSRS nini, mi naimani tusubiri za November kwanza ingawa placement ambazo nahisi zitawai ni za UDOM kuliko nyingine oral walifanya january.
Kwa mawazo yangu TRA wawe wapole ila hawa wenye saili za vyuo hasa assistant na tutorial lecturers kama saili za UDOM lolote linatokea mda wowote mara nyingi hawakai kwenye foleni.Nilikuwa namkumbusha huenda kashasahau, hata TRA walifanya tarehe 3, iyo ya UDOM inawezekana ikawahi hawana mambo
TRA walikuwa na kada tofauti tofauti afu na tarehe pia zimeachana mbali mana ICT Programmers TRA walifanya tarehe 3 , Technicians TRA wakafanya Tarehe 4, ila madereva wa TRA wakaja kufanya oral around tarehe 17 january. So hapo naona tuhesabie oral za TRA ziliisha Tarehe 17 januaryNilikuwa namkumbusha huenda kashasahau, hata TRA walifanya tarehe 3, iyo ya UDOM inawezekana ikawahi hawana mambo mengi
SahihiHakutakiwa kusema nipotezee wakati imepita miez tisa bila placement
Sema mwaka jana waliwahi TRA UDOM wanajitegemea wako wachache, kuna wadau humu hii ya TRA wameikadiria hadi April, huyu Twinawe tarehe yake ndio iko karibu na ndio maana namkumbusha hapa bado siku 3.Kwa mawazo yangu TRA wawe wapole ila hawa wenye saili za vyuo hasa assistant na tutorial lecturers kama saili za UDOM lolote linatokea mda wowote mara nyingi hawakai kwenye foleni.
Kwa maana iyo hii ya TRA inaweza kwenda hadi march - april uko kama walivyootea wadau humuTRA walikuwa na kada tofauti tofauti afu na tarehe pia zimeachana mbali mana ICT Programmers TRA walifanya tarehe 3 , Technicians TRA wakafanya Tarehe 4, ila madereva wa TRA wakaja kufanya oral around tarehe 17 january. So hapo naona tuhesabie oral za TRA ziliisha Tarehe 17 january
Wachelewe tu ili iwe km ya Mwaka Jana 95%+ waliofanya Oral wote walijiona kwny PDFNi kweli TRA huwa wanawahigi, Tu expect mwez huu tarehe yoyote!!
Noo sio mpka march-april, siku yoyote tu, Mana ata za mwaka Jana TRA oral ilivyoisha ni after 3 weeks tu wakatoa placements. So ni siku yoyote tu,. Ata haina formula!!Kwa maana iyo hii ya TRA inaweza kwenda hadi march - april uko kama walivyootea wadau humu
Hahhah TRA wawe wa polee coz sidhani kama ana dharula kubwa kiasi hicho cha kuitaji wafanyakazi haraka tena, coz alibeba wa kutosha juzi kati, ila kama ana haraka nao basi hatakaaa kwenye foleni. Nawaona kama 3 mwishoniKwa maana iyo hii ya TRA inaweza kwenda hadi march - april uko kama walivyootea wadau humu
True, mwaka Jana waliajiri wengi !!Wachelewe tu ili iwe km ya Mwaka Jana 95%+ waliofanya Oral wote walijiona kwny PDF
Uhitaji upo kuna watu wapo maofisini wanakuambia Mwezi 3 Assistant TM wanahitajika kuwa Job na Siku zote wao Training ni 2 Weeks tu so Kwny Mwezi huu Lolote linaweza tokeoHahhah TRA wawe wa polee coz sidhani kama ana dharula kubwa kiasi hicho cha kuitaji wafanyakazi haraka tena, coz alibeba wa kutosha juzi kati, ila kama ana haraka nao basi hatakaaa kwenye foleni. Nawaona kama 3 mwishoni
Ili kuwa Neema sn Kwa VijanaTrue, mwaka Jana waliajiri wengi !!
Wanadai TRA kuna uhaba na ndio maana walirudia usahili watu wanahitajika huko sio kipole poleHahhah TRA wawe wa polee coz sidhani kama ana dharula kubwa kiasi hicho cha kuitaji wafanyakazi haraka tena, coz alibeba wa kutosha juzi kati, ila kama ana haraka nao basi hatakaaa kwenye foleni. Nawaona kama 3 mwishoni
Oral za Mwisho au kulingana na Kada maana kuna Sisi wa trh 7 January bado kdg tu Mwezi tunaufungaTakwimu zinaonyesha TRA awajawahi kuzidisha mwezi toka tareh ya oral mpaka placement awajawahi kuzidisha mwezi
Mbona hiyo kama ya 2022Mfatilieni page ya huyo bidada ufadhili wa masomo huko majuu AustraliaView attachment 2507166View attachment 2507167View attachment 2507168
Kipimo kitakuwa ni tarehe 20 mwezi huu, wakivuka hawajatoa basi wataenda adi miez miwili, but kwenye hizi office za serikali hakuna office ambazo hazina uhitaji,karibu kila office ina uhitaji, wanacho angalia naisi mkubwa kiasi gani, kwa mfano ata UDSM anapost ambazo hazimalizi week 2 but pia ana post ambazo huwa zinachukua miezi miwili kutoka.Uhitaji upo kuna watu wapo maofisini wanakuambia Mwezi 3 Assistant TM wanahitajika kuwa Job na Siku zote wao Training ni 2 Weeks tu so Kwny Mwezi huu Lolote linaweza toke
Toka tarehe ya mwisho kufunga oral hawajawahi timiza mwez.. we hesabia tarehe ya mwisho kufunga mwez wa oral ni tarehe 17 january 2023.. expect before tarehe 17 Feb wanaweza wakatoaOral za Mwisho au kulingana na Kada maana kuna Sisi wa trh 7 January bado kdg tu Mwezi tunaufunga