professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,510
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na tuliokandwa mara kadhaa tunaruhusiwa kuleta shuhuda zetu?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
๐๐๐๐๐hahhhh mwamba huyu hapa ndeeee ndeeeeee ndeeee ndeeeeeeNa tuliokandwa mara kadhaa tunaruhusiwa kuleta shuhuda zetu?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahaa..Hizi update za account ajira portal zinachanganya sana
Tushapiga oral afu inaandika shortlisted au ndo nshakandwa sasa
kwema kabisa mkuuMkuu, uliadimika sana ni kwema?
๐๐๐๐Sasa kuchakatwa ndo waniandikie shortlisted hizi so dhalau wananichanganya ubongo wangu najiuliza kwahiyo wanaona kama sijafanya hata interview hawa watu aah watatuua bureHahahaa..
Usiwe na shaka mkuu, kikubwa ushapiga oral, mambo yanachakatwa taratibu..
[emoji38][emoji38][emoji38]hamruhusiwiNa tuliokandwa mara kadhaa tunaruhusiwa kuleta shuhuda zetu?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nimepigwa hat-trick na PSRS huku wakiibuka na clean sheet.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahhhh mwamba huyu hapa ndeeee ndeeeeee ndeeee ndeeeeee
Ni nyingi sana sema zikishatoka hapa mpaka zije zingine inachukua miaka mingiHuu mwaka nafasi za TA nyingi sana maana hii August na December asilimia kubwa ya interviews ilikua ni TA.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji38]hamruhusiwi
๐๐๐๐Hahhhhh umefanya nicheke sanaNimepigwa hat-trick na PSRS huku wakiibuka na clean sheet.
Mimi 0 - 3 PSRS.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kabisa hapo ni baada ya miaka miwili au zaidi. Hopefully next week mikeka yao itatemaNi nyingi sana sema zikishatoka hapa mpaka zije zingine inachukua miaka mingi
๐๐๐๐unamtenga kiongozi wangu wa ujobless[emoji38][emoji38][emoji38]hamruhusiwi
Hiyo mapema tu maana before 10 October kuna vyuo vinafunguliwaKabisa hapo ni baada ya miaka miwili au zaidi. Hopefully next week mikeka yao itatema
Mungu abariki tuachane na kikombe hiki cha UjoblessHiyo mapema tu maana before 10 October kuna vyuo vinafunguliwa
Kweli kabisa tunakosa hata pisi kali kisa ujobless๐๐๐๐๐Mungu abariki tuachane na kikombe hiki cha Ujobless
Pisi kali wapi wakati maslahi kiduchuKweli kabisa tunakosa hata pisi kali kisa ujobless๐๐๐๐๐
ATC,NIT,ARIMO,VETA mkeka bado hawa wanfngua lini kwniHiyo mapema tu maana before 10 October kuna vyuo vinafunguliwa
Sifahamu lini lakini nadhani ni hivi karibuniATC,NIT,ARIMO,VETA mkeka bado hawa wanfngua lini kwni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unamtenga kiongozi wangu wa ujobless