mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Uzi mtamu๐๐๐....pamoja luteni
Mkuu mfano imetiki kote PSRS na UT unakwenda wapi.???pamoja luteni
hapa nasikizia pdf mbili jeshin ama utumishi,jpo utumishi nazuga tu mkuu wangu sababu ya hali ya kimaishaUzi mtamu๐๐๐....
Leteni lonja wakuu
Mkuu wanangu wa uzi wa polisi wnanifahamu vizuri ,mi damu yangu iko UTMkuu mfano imetiki kote PSRS na UT unakwenda wapi.???
Utashangaa Utumishi ndio unapata kazi.Maana Kule UT nafasi chache sana na ma connection ndio kwa kwenda mbele.hapa nasikizia pdf mbili jeshin ama utumishi,jpo utumishi nazuga tu mkuu wangu sababu ya hali ya kimaisha
Hahaha sawa mzalendo. Kwanin sio PT.Mkuu wanangu wa uzi wa polisi wnanifahamu vizuri ,mi damu yangu iko UT
MUNGU ni koneksheni tosha afsaUtashangaa Utumishi ndio unapata kazi.Maana Kule UT nafasi chache sana na ma connection ndio kwa kwenda mbele.
passion na mazingira ya kazi mkuuHahaha sawa mzalendo. Kwanin sio PT.
Hakika Mkuu Najua ulishajipanga lakini.MUNGU ni koneksheni tosha afsa
Pamoja sana, nilikua sijui kama UT wapo vizur kimazingira zaid ya PT, mungu afanye wepesi kwenye njia yako ya UT.passion na mazingira ya kazi mkuu
Ukipata UT utafanya vizuri sana.Maana unapenda sana inaonekana.Mkuu wanangu wa uzi wa polisi wnanifahamu vizuri ,mi damu yangu iko UT
Ikawe heri hakuna kitu kizuri kufanya kazi unayo pendaMkuu wanangu wa uzi wa polisi wnanifahamu vizuri ,mi damu yangu iko UT
Naam,ziliandikwa tarehe 8 December, 2022. Placement ikatoka 9 January, 2023Matokeo yenu tayari na barua tayari mshaandaliwa ni suala la muda tu
Nakumbuka kiongozi mwifwa alisema barua zao zilikuwa tayari tangu tarehe 7 december ila wakaitwa january
Ahsante mkuu, salamu zimefika.Ukaguzi house,, mwifwa wasalimie
Hongera sana mkuu.nili ji introduce full name yangu,umri na elimu yangu.
nilianzia level degree mpaka primary huku nikigusia mwaka niliohitimu hio elimu per each.
nikajisifu kuwa nimezaliwa familia yenye background ya hii kazi niliyo omba
nikamalizia experience yangu (taasisi mbili tofauti) ambapo experience angu nilitaja duties zinazoe elekeana na tangazo la kazi,then nikasema thank you
panelist mkuu pale akanambia very good, tulipoanza kwenye class questions sikulisikia tena neno good wakuu,zaidi ya ure so welcome mfwende.
What cause this?Naam,ziliandikwa tarehe 8 December, 2022. Placement ikatoka 9 January, 2023
pamoja mkuuHongera sana mkuu.
Mimi pia nilitaja Jina langu lote.
Kuhusu shule nilianzia Chuo nikaishia Olevel tu huku nikitaja mwaka wa kuanza na kumaliza per each.
Kwenye uzoefu nilitaja sehemu niliyofanyia mafunzo kwa vitendo mwaka nilioanza na niliomaliza.
Nilimalizia kwa kusema "Hii ndio historia yangu fupi ya maisha yangu ya shule"
Kwenye Introduction(swali la kwanza) ni rahisi sana kuflow bila kutatarika maana ukipangilia matukio inabaki kutaja tu bila shida
Thanks champ,bdo pdf kutokaIkawe heri hakuna kitu kizuri kufanya kazi unayo penda
Thank u champUkipata UT utafanya vizuri sana.Maana unapenda sana inaonekana.