Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

nili ji introduce full name yangu,umri na elimu yangu.
nilianzia level degree mpaka primary huku nikigusia mwaka niliohitimu hio elimu per each.
nikajisifu kuwa nimezaliwa familia yenye background ya hii kazi niliyo omba
nikamalizia experience yangu (taasisi mbili tofauti) ambapo experience angu nilitaja duties zinazoe elekeana na tangazo la kazi,then nikasema thank you

panelist mkuu pale akanambia very good, tulipoanza kwenye class questions sikulisikia tena neno good wakuu,zaidi ya ure so welcome mfwende.
Hongera sana mkuu.

Mimi pia nilitaja Jina langu lote.

Kuhusu shule nilianzia Chuo nikaishia Olevel tu huku nikitaja mwaka wa kuanza na kumaliza per each.

Kwenye uzoefu nilitaja sehemu niliyofanyia mafunzo kwa vitendo mwaka nilioanza na niliomaliza.

Nilimalizia kwa kusema "Hii ndio historia yangu fupi ya maisha yangu ya shule"

Kwenye Introduction(swali la kwanza) ni rahisi sana kuflow bila kutatarika maana ukipangilia matukio inabaki kutaja tu bila shida
 
Hongera sana mkuu.

Mimi pia nilitaja Jina langu lote.

Kuhusu shule nilianzia Chuo nikaishia Olevel tu huku nikitaja mwaka wa kuanza na kumaliza per each.

Kwenye uzoefu nilitaja sehemu niliyofanyia mafunzo kwa vitendo mwaka nilioanza na niliomaliza.

Nilimalizia kwa kusema "Hii ndio historia yangu fupi ya maisha yangu ya shule"

Kwenye Introduction(swali la kwanza) ni rahisi sana kuflow bila kutatarika maana ukipangilia matukio inabaki kutaja tu bila shida
pamoja mkuu
 
Back
Top Bottom