Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kozi inaweza isiwepo but kukawa na relevant qualifications au pia wanazinguaga kuhusu ilo kama kozi inakuwa haipo kwenye advert.

But nasikia pia unaweza kufanya usaili ukapita but usipewe kazi kutokana na sintofahamu ya cheti chako.
 
Mwanangu anadai yake ime change kuwa "Selected" kavu
Mkuu, Mimi saili yangu nilofanya November imebadilika huko kwenye APP Sasa imeandika "SELECTED FOR practical interview Hali ya kuwa Wala sikufanya hyo Practical interview 😂😂
 
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…