Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kozi inaweza isiwepo but kukawa na relevant qualifications au pia wanazinguaga kuhusu ilo kama kozi inakuwa haipo kwenye advert.Jidanganye tu, kuna usahili wa heslb, kuna jamaa alikua na bachelor ya public administration sijui ilikuaje akafanikiwa ku-apply na kuwa short listed. Tangazo lilitaka watu wa education na accounting, jamaa wakimzingua sana, na wakampa tangazo asome kama kozi yake ipo pale.
Kusema wanaangalia tu majina ni uongo.
Mkuu, Mimi saili yangu nilofanya November imebadilika huko kwenye APP Sasa imeandika "SELECTED FOR practical interview Hali ya kuwa Wala sikufanya hyo Practical interview 😂😂Mwanangu anadai yake ime change kuwa "Selected" kavu
Yaaa udsm vp mkuu.Mkuu, Mimi saili yangu nilofanya November imebadilika huko kwenye APP Sasa imeandika "SELECTED FOR practical interview Hali ya kuwa Wala sikufanya hyo Practical interview 😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23]Hakikisha kwenye web una selected for practical kama huna mungu asimame nawe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
😅😅😅 dahHakikisha kwenye app una selected for practical kama huna mungu asimame nawe🤣🤣🤣🤣🤣.
Nimeona mnasema jumanne huwa ya placement,ngoja tusubiri...mazaga one Leo jioni Kuna keka la watu wa November
🦹🦹😃
Dah we jamaa bwana....Hakikisha kwenye app una selected for practical kama huna mungu asimame nawe🤣🤣🤣🤣🤣.
Hili naona kwa wengi Leo,Status zimebadilika kweli hasa kwenye APP.Mkuu, Mimi saili yangu nilofanya November imebadilika huko kwenye APP Sasa imeandika "SELECTED FOR practical interview Hali ya kuwa Wala sikufanya hyo Practical interview 😂😂
[emoji1787][emoji1787]usije ukakimbia tu baadae.mana wewe msingi mbio.Hakikisha kwenye app una selected for practical kama huna mungu asimame nawe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Hahaha bwana Wizzy anajulikana[emoji1787][emoji1787]usije ukakimbia tu baadae.mana wewe msingi mbio.
Mimi sifahamu lolote Kiongozi...Kwaiyo mnamaanisha wale waliofanya mamlaka ya mapato mkeka utatoka leo mazaga one
Wadau huko Juu ndio wamesema nami nikasema ngoja tusubiri.Wewe si ulisema jumanne mkeka unatoka mazaga one
Salary scale yao ni ipi?Hivi HELSB laon officer anakula jiwe ngapi kwa mwezi. Mwenye shahada.
Je ana masurufu.
Hapo marupurupu sidhani km yakuulizia hapo[emoji3][emoji3][emoji3]
Naunga mkono hojaNaimani watakuwa wamesikia kilio Cha Vijana wengi,maana unaenda kufanya Saili nyingi bila kujua Placement kama utakuwepo au hautakawepo.Mwisho wa siku unajikuta upo eneo la Usaili unasuburi Usaili unachungulia web unakuta Upo kwenye Placement,ni furaha unapata japo unakuwa umechoma nauli.....
Kama itakuonyesha selected for placement Huku hujui lini PDF itatoka lakini uhakika unakuwa nao,itakufanya usiombe Tena kazi na kuachia wengine waombaji waombe,na kama pia ulikuwa na usaili utaacha wengine waende wewe utatulia.Lakini pia kama baada ya Usaili utaona matarajio ya kuwemo kwenye Placement haumo itakufanya pia upambane kwa saili zijazo.Kama ambavyo huwa wanasisitiza yakuwa Kwa waombaji ambao hawakuona Majina Yao wasisite kuomba Tena...
Sasa Ili kuepusha watu kuomba omba kazi na kuwa na double placements au kukimbia taasisi....
Hili linawezekana kabisa kama itakuwa hivi baada ya muda Fulani vikao vya kuchuja Majina ya waliopangiwa vituo vya kazi kwenye Taasisi Mbalimbali...
Status zinaweza kuwa hivi....
-'SHORTLISTED'
-SELECTED for Practical Interview..Kwa wale wenye saili zenye Practical pia...
-SELECTED for Oral Interview..
-SELECTED for PLACEMENT.
-SELECTED for NULL....hapa mtu imuonyeshe asuburi kwa mwaka labda yupo kwenye Database kama nafasi ikitokea anaweza kupata....
-NOT SELECTED FOR NULL....Hii status ionyeshe ya kuwa mtu hajabahatika kuwepo upande wowote either Placement or Database kwa maana Ajaribu Wakati mwingine....
Mtazamo wangu tu uko hivyo nikiwa kama mwombaji wa Ajira kupitia PSRS..
Sekretarieti ya Ajira