Niliona kwenye mkataba wa utendaji kazi wa PSRS na wateja wake kuwa tangazo likipelekwa kwao watalifanyia kazi(kulitangaza) ndani ya siku 14.Hili ni sahihi Mkuu, kwa sababu inachukua karibu mwaka mzima tangu taasisi ipeleke mahutaji yake Utumishi mpaka kuja kuwapata.
Wengi huwa tunadhani tukiona tangazo ndipo muda taasisi husika imepeleka mahitaji yao, kumbe kuna kuwa na miezi imeshakatika, hapo bado kusubiri Saili zipangwe!
Pole sana mkuu, nilijua hili la process ila sikulisema nilitaka wahusika mje mliseme.Wakuu ndo nimepanda gari kurudi dar huko utumishi na kureport kazini process kubwa sana kichwa kinauma hapa aiseee ngoja nisinzie tu hapa kwenye kiti
Audit officer kwa upande wa AfyaNi nafasi gani mkuu?
Kwanini inakuwa hivi mkuu kwani kuna process gani wanafanya baada yakupeleka barua kutoka utumishi?Pole sana mkuu, nilijua hili la process ila sikulisema nilitaka wahusika mje mliseme.
Unakumbuka placement ya mwisho ilitoka tarehe 19/7/2022?(ukiachana na placements za vyuo na Bunge)
Sasa kuna jamaa namfahamu alipangiwa kituo katika hiyo placement, alipoenda kuchukua barua PSRS akatakiwa aipeleke kwa mwajiri, alipoenda kwa mwajiri akaambiwa asubiri mchakato wa ajira uchakatwe na atajulishwa(kupangiwa kituo).
Juzi wakati placement yenu inatoka ndio jamaa kapokea barua yake ya kazi kutoka kwa mwajiri ambayo ataenda nayo kuripoti kwa Manager wa kanda ili akapangiwe majukumu.
Yaani miezi 2 imekata ndio anaenda kuanza kazi sasahivi.
Sasa wewe omba mchakato usiwe mrefu la sivyo utaanza kazi Novemba huko.
Hii unaenda mara nyingi huwa wanataka watu wa phamacyAudit officer kwa upande wa Afya
Aisee hongera sanaMungu kasaidia mkuuu nimetoboa aiseee
We mwenzangu ngoja tuendelee kusubiriMie nilipiga oral ya ADEM tarehe 16 mwezi 9 nadhani mkeka wetu hadi mwezi ujao...ngoja tuvute subra
Duh,sio poa mkuuAudit officer kwa upande wa Afya
Buyu la ASALI hilo nafasi za kazi BOT na za kuhamia kwa in service tu na kuna za watu wote fungua pdf hizo mapambano yanaendelea. ..mwisho wa maombi ni tarehe 17 OctoberView attachment 2022093017205045.pdfView attachment 2022093017225765.pdfDuh,sio poa mkuu
Shukran mkuu,sema hayo masharti sio poa.upper second then wanataka fresh from schoolBuyu la ASALI hilo nafasi za kazi BOT na za kuhamia kwa in service tu na kuna za watu wote fungua pdf hizo mapambano yanaendelea. ..mwisho wa maombi ni tarehe 17 OctoberView attachment 2373254View attachment 2373255
View attachment 2373257
Niliona kwenye mkataba wa utendaji kazi wa PSRS na wateja wake kuwa tangazo likipelekwa kwao watalifanyia kazi(kulitangaza) ndani ya siku 14.
Kuchambua maombi ni kwa mwezi 1 tangu deadline iishe.
Ila kutokana na nyomi kubwa huo muda unakuwa hautoshi ndio maana shortlists zinatoka baada ya muda mrefu sana
Hatari sana kakaHili ni sahihi sana, ni wazi wameshindwa kutekeleza ahadi walizoahidi wateja wao.
Kila kona kibano tu, bora PSRS [emoji1][emoji1] hawana masharti mengiHili ni sahihi sana, ni wazi wameshindwa kutekeleza ahadi walizoahidi wateja wao.
Pole sana mkuu, nilijua hili la process ila sikulisema nilitaka wahusika mje mliseme.
Unakumbuka placement ya mwisho ilitoka tarehe 19/7/2022?(ukiachana na placements za vyuo na Bunge)
Sasa kuna jamaa namfahamu alipangiwa kituo katika hiyo placement, alipoenda kuchukua barua PSRS akatakiwa aipeleke kwa mwajiri, alipoenda kwa mwajiri akaambiwa asubiri mchakato wa ajira uchakatwe na atajulishwa(kupangiwa kituo).
Juzi wakati placement yenu inatoka ndio jamaa kapokea barua yake ya kazi kutoka kwa mwajiri ambayo ataenda nayo kuripoti kwa Manager wa kanda ili akapangiwe majukumu.
Yaani miezi 2 imekata ndio anaenda kuanza kazi sasahivi.
Sasa wewe omba mchakato usiwe mrefu la sivyo utaanza kazi Novemba huko.
Usiogope khs nafasi moja, veta- electronics walihitaji mtu mmoja tu lakini wakachukua watu 8[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utumishi watakuja kutuua hawa hizi post wanazotoa wanataka mtu mmoja ngumu sana
Unapofanya application anza kusoma siku hiyo mpk pale mtakapoitwa, hakikisha kila siku unaingiza kitu kipya na kujikumbusha ya nyuma!Wakuu nipeni mbinu ya kusoma ili nipambane vema hizi saili za UTUMISHI, maana nilisoma kitambo na material s yashaanza kupotea. Ninyi mnatumia mbinu gani
Huko sahihi mkuuUsiogope khs nafasi moja, veta- electronics walihitaji mtu mmoja tu lakini wakachukua watu 8
Ngoja tusubiriUsiogope khs nafasi moja, veta- electronics walihitaji mtu mmoja tu lakini wakachukua watu 8
Sijui mkuu, tusubiri hawa waliotoboa na wapo hapa wanaweza kuja kutupa muongozo kuhusu hiliKwanini inakuwa hivi mkuu kwani kuna process gani wanafanya baada yakupeleka barua kutoka utumishi?