Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kaka unataka kukandwa na NAOT, lkn naamini this moment let's make itNAOT watoe basi huo mkeka, mood ya kukandwa imerudi
Mie nasuburi NAOT na HESLB ,,,yaani hizi za kitambo ila mpaka sasa kimyaNAOT watoe basi huo mkeka, mood ya kukandwa imerudi
Tuombe niitwe kwanza aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kaka unataka kukandwa na NAOT, lkn naamini this moment let's make it
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ngoja papambazuke wanaweza kuweka hata ya kutuzugiaMie nasuburi NAOT na HESLB ,,,yaani hizi za kitambo ila mpaka sasa kimya
😂😂😂😂hahhh nimechoka kukandwa hebu watulie kidogo hata sijasoma hapa na mood imegoma kabisaKumekucha na makucha yake, Jumanne tulivu pande hizi. Je tunaweza kuambulia kamkeka leo...?
PSRS na hili mkalitazame...
Hahahaaa, wakati mimi mood imerudi ila wewe bado.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahhh nimechoka kukandwa hebu watulie kidogo hata sijasoma hapa na mood imegoma kabisa
😂😂😂😂daaah ni hatariHahahaaa, wakati mimi mood imerudi ila wewe bado.
Uzuri pia wewe unasubiri placement, mimi karata ya mwisho naisubiri halafu kulamba garasha ni asilimia kama zote
Sijui wamefanyaje au ipo kwenye website yaoHivi written za MUHAS zimefanyika gizani?
Sijaona mkeka wa selected, kesho ni oral
Kwenye website yao hawajaweka?Hivi written za MUHAS zimefanyika gizani?
Sijaona mkeka wa selected, kesho ni oral
Wapite tu dah waone vijana tulivyo na hali mbaya...watoe hiyo mikeka tujue 1 kama kukandwa au kutoboaHivi hawa psrs huwa wanapita humu kweli?
Hao bado wanafanya kazi kishamba sanaWapite tu dah waone vijana tulivyo na hali mbaya...watoe hiyo mikeka tujue 1 kama kukandwa au kutoboa
mzigo bado hata mm nasubirii.Hivi written za MUHAS zimefanyika gizani?
Sijaona mkeka wa selected, kesho ni oral
Sijaona hukoSijui wamefanyaje au ipo kwenye website yao
HamnaKwenye website yao hawajaweka?