Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kumekucha na makucha yake, Jumanne tulivu pande hizi. Je tunaweza kuambulia kamkeka leo...?

PSRS na hili mkalitazame...
😂😂😂😂hahhh nimechoka kukandwa hebu watulie kidogo hata sijasoma hapa na mood imegoma kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahhh nimechoka kukandwa hebu watulie kidogo hata sijasoma hapa na mood imegoma kabisa
Hahahaaa, wakati mimi mood imerudi ila wewe bado.

Uzuri pia wewe unasubiri placement, mimi karata ya mwisho naisubiri halafu kulamba garasha ni asilimia kama zote
 
Hivi written za MUHAS zimefanyika gizani?

Sijaona mkeka wa selected, kesho ni oral
 
Hahahaaa, wakati mimi mood imerudi ila wewe bado.

Uzuri pia wewe unasubiri placement, mimi karata ya mwisho naisubiri halafu kulamba garasha ni asilimia kama zote
😂😂😂😂daaah ni hatari
 
Taifa la watu 60+ Million ,uwezo wa serikali ni kutengeneza ajira 20 za watu tu. Pathetic

Screenshot_20221004-110839_Opera Mini.jpg
 
Hivi written za MUHAS zimefanyika gizani?

Sijaona mkeka wa selected, kesho ni oral
mzigo bado hata mm nasubirii.
maana Oral tulipiga ijumaa.

ila tuliambiwa tuwe-tunapitiia website. mda wowote yanatoka kabla ya Oral.
So nikusikiliziiiia tu.
 
Back
Top Bottom