Samson mwigune
Senior Member
- Aug 15, 2022
- 110
- 279
Mbona wametoaKuna PDF la SUA, kila la kheri mlioitwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wametoaKuna PDF la SUA, kila la kheri mlioitwa.
Naona wameitwa Malecturer na tutorial tu.. Kuna zile zingine zilitangazwa za SUA kuanzia level ya Diploma mpaka degree sijaziona tena zilitangazwa mwez mmoja, JuneKuna PDF la SUA, kila la kheri mlioitwa.
Limehamishiwa kwenye website ya ChuoMbona wametoa
Tutorial Assistant ambao ni Degree holder wameitwaNaona wameitwa Malecturer na tutorial tu.. Kuna zile zingine zilitangazwa za SUA kuanzia level ya Diploma mpaka degree sijaziona tena zilitangazwa mwez mmoja, June
Tutorial Assistant ambao ni Degree holder wameitwa
Nikajua hadi mwaka mwengine wa fedhaAhaaa wapi
HV wakuu ile inshu ya vyeti kufuta ajira portal's inakuaje wa2 tumeingia cha kike kaz zinatupita aiseeHuu mkeka wa watu waliofanya ORAL June. ndio umesahaulikaa au [emoji2][emoji2]
Unataka kufuata vyeti utaombaje kazi bila vyeti..?HV wakuu ile inshu ya vyeti kufuta ajira portal's inakuaje wa2 tumeingia cha kike kaz zinatupita aisee
Unafuta ambacho hakikupi fursa mfano ukiwa na kweny portal umeweka vyet kuanzia BASIC mpaka certificate, diploma, kazi ikitoka ya kutaka certificate hutaweza kuombaUnataka kufuata vyeti utaombaje kazi bila vyeti..?
Na ww ulikuwa wa oral km mmHuu mkeka wa watu waliofanya ORAL June. ndio umesahaulikaa au [emoji2][emoji2]
Ok nimekupata, Ila issue inakuja kwamba huwezi kushindwa kuomba kazi ya level za juu kuhofia zikitoka level za chini utashindwa kuomba.. Zimetoka kazi degree we Omba huwezi kuacha posts za kazi kibao zikupite hvhv hyo sio akili..!!Unafuta ambacho hakikupi fursa mfano ukiwa na kweny portal umeweka vyet kuanzia BASIC mpaka certificate, diploma, kazi ikitoka ya kutaka certificate hutaweza kuomba
Umeshatumia portal hii ni changamoto kwa wengi huwez omba lazma job fail kaz inataka certificate nawe una diploma vyote vipo mfumo unakataa wakat ilibidi uchukue mfumo cheti kinacho takiwa mfano huwa wanaweka FTC/diploma ila bdo itagoma as cjui kwannOk nimekupata, Ila issue inakuja kwamba huwezi kushindwa kuomba kazi ya level za juu kuhofia zikitoka level za chini utashindwa kuomba.. Zimetoka kazi degree we Omba huwezi kuacha posts za kazi kibao zikupite hvhv hyo sio akili..!!
Hilo naekuelewa, Ina maana wanachohitaji wewe mwenye diploma kutokea certificate inakuhitaji kuomba kazi za Diploma tu ambayo ndio level yako ya juu..Umeshatumia portal hii ni changamoto kwa wengi huwez omba lazma job fail kaz inataka certificate nawe una diploma vyote vipo mfumo unakataa wakat ilibidi uchukue mfumo cheti kinacho takiwa mfano huwa wanaweka FTC/diploma ila bdo itagoma as cjui kwann
Hii imeniitokea mimi, Kwa kifupi Mimi na apply za degree tuu,zile za diploma system haitaki kukubali kuomba..Umeshatumia portal hii ni changamoto kwa wengi huwez omba lazma job fail kaz inataka certificate nawe una diploma vyote vipo mfumo unakataa wakat ilibidi uchukue mfumo cheti kinacho takiwa mfano huwa wanaweka FTC/diploma ila bdo itagoma as cjui kwann
Kwa kifupi si sawa ,kwani si nina ujuzi husika ,Kwa nini mnibanie,kisa Nina level ya juu...Hilo nakuelewa, Ina maana wanachohitaji wewe mwenye diploma kutokea certificate inakuhitaji kuomba kazi za Diploma tu ambayo ndio level yako ya juu..
Certificate huwezi kuomba.. hyo Iko poa tyu
Wanahitaji same competition.. Ndege wafananao waruke kundi moja👊Kwa kifupi si sawa ,kwani si nina ujuzi husika ,Kwa nini mnibanie,kisa Nina level ya juu...
Dah !!Noma sanaWanahitaji same competition.. Ndege wafananao waruke kundi moja[emoji109]
🤔🤔🤔Kwani ndiyo placements ndiyo imegoma kutoka