makofia360
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 776
- 2,392
Hizo hazisimamiwi na utumishi mkuu au inakuajePDF za watendaji wa mitaa/vijiji zimeanza kufurika, hizi zingine nazo zipo mbioni tuendelee kusubiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo hazisimamiwi na utumishi mkuu au inakuajePDF za watendaji wa mitaa/vijiji zimeanza kufurika, hizi zingine nazo zipo mbioni tuendelee kusubiri
Wabungeni waleteeeeeLeo tufanye mahudhurio Utumishi mwezi upo mwishoni
😂😂😂😂Wabungeni waleteee
Kuna PDF ya Bunge imetoka, watu ni wengi balaa hadi nimepigwa na butwaaLeo tufanye mahudhurio Utumishi mwezi upo mwishoni
Picha kwanza ndiyo linaanzaKuna PDF ya Bunge imetoka, watu ni wengi balaa hadi nimepigwa na butwaa
Placement haziko mbali amininiPicha kwanza ndiyo linaanza
Mkuuu Utumishi wameanza kusafisha macho kwa wazee wa mahudhurioKuna PDF ya Bunge imetoka, watu ni wengi balaa hadi nimepigwa na butwaa
Hapo ya mhimu sana placementPlacement haziko mbali aminini
Pole kwa mzigoSUA leo asubuhi kipute kimepigwa tunasubiri matokeo hapa.. nipo gesti hapa nipeni hata connection basi nimwagilie moyo kidogo kabla sijapata matokeo
thanx mkuuPole kwa mzigo
Mimi nina wasisi wasi leo au jioniPlacements huwa inatoka kuanzia saa 12 tusubili tuone leo au kkes
Matikeo jioni,,,Pia pole sana mpambaniSUA leo asubuhi kipute kimepigwa tunasubiri matokeo hapa.. nipo gesti hapa nipeni hata connection basi nimwagilie moyo kidogo kabla sijapata matokeo
Thanks mkuuMatikeo jioni,,,Pia pole sana mpambani
Na ww unasubili placementsBungeee nouma watu nyomiiii waweza jikuta unakata tamaaa
Mapambano badothanx mkuu