the guy here i am
Member
- Nov 11, 2018
- 80
- 31
Io ya bunge mbona utumishi Amna unayo itume hapa kakaKuna PDF ya Bunge imetoka, watu ni wengi balaa hadi nimepigwa na butwaa
Nafasi ya Katibu Msaidizi wa Bunge II inapambaniwa na 2455
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Io ya bunge mbona utumishi Amna unayo itume hapa kakaKuna PDF ya Bunge imetoka, watu ni wengi balaa hadi nimepigwa na butwaa
Nafasi ya Katibu Msaidizi wa Bunge II inapambaniwa na 2455
Hiyo hapo View attachment 220825142830TANGAZO LA BUNGE TANZANIA.pdfIo ya bunge mbona utumishi Amna unayo itume hapa kaka
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuuu Utumishi wameanza kusafisha macho kwa wazee wa mahudhurio
Matumaini ya kutoboa yapo?SUA leo asubuhi kipute kimepigwa tunasubiri matokeo hapa.. nipo gesti hapa nipeni hata connection basi nimwagilie moyo kidogo kabla sijapata matokeo
Huko mjengoni ni hotcake aisee, imagine nafasi 6 zinagombaniwa na watu 2455Bungeee nouma watu nyomiiii waweza jikuta unakata tamaaa
dhambi kubwa sana kukata tamaa mkuuHuko mjengoni ni hotcake aisee, imagine nafasi 6 zinagombaniwa na watu 2455
Kwangu haifunguki hi documents inanipeleka mwanzo wa jamii forums sijajua n shida msaadaHiyo hapo View attachment 2334594
Hiyo hapo mkuuIo ya bunge mbona utumishi Amna unayo itume hapa kaka
Kweli mkuu, pepa ndio itatoa muongozo wa kutusua au ladhambi kubwa sana kukata tamaa mkuu
Aisee so far sijui.. paper ni kama ilikuwa ngumu.. ngoja tusikilizie itakuwajeMatumaini ya kutoboa yapo?
atar aiseeHuko mjengoni ni hotcake aisee, imagine nafasi 6 zinagombaniwa na watu 2455
Hili tatizo na Mimi ninalo.kila nikibonyeza link inanipeleka kwenye home page ya jamii forumKwangu haifunguki hi documents inanipeleka mwanzo wa jamii forums sijajua n shida msaada
atar aisee
Mwanao niko nyavuni..sijui nitatoboaje?Kuna PDF ya Bunge imetoka, watu ni wengi balaa hadi nimepigwa na butwaa
Nafasi ya Katibu Msaidizi wa Bunge II inapambaniwa na 2455
Mwanao niko nyavuni..sijui nitatoboaje?
Hongera sana mkuu kwa kuitwa, hatua nzuri.Mwanao niko nyavuni..sijui nitatoboaje?
Nafasi 6 tuIla nafasi si zinafika 100 mkuu,
maana nimeona watu wameutwa wengi 2000+
nimetoboa mkuu.. kesho inshaalah naingia kipute cha pili.. nimeambiwa ni oral na presentationKiongoz umeitwa kwenye oral au tusubil nyingine
Mkuu Pepa yote ilikuwa multiple choice ?nimetoboa mkuu.. kesho inshaalah naingia kipute cha pili.. nimeambiwa ni oral na presentation
Kuna PDF ya Bunge imetoka, watu ni wengi balaa hadi nimepigwa na butwaa
Nafasi ya Katibu Msaidizi wa Bunge II inapambaniwa na 2455