Black255
Senior Member
- Feb 19, 2015
- 181
- 370
wakitoa tutasema bora wasingetoa tungeendelea kuishi kwa matumaini..Ila wangetoa Iyo placement mtu ukajua kimoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakitoa tutasema bora wasingetoa tungeendelea kuishi kwa matumaini..Ila wangetoa Iyo placement mtu ukajua kimoja
Placement ndio kityu kilichobaki leo tufunge tukiomba jina liwepoPlacement hii sijui itakuwa na page ngapi maana waliofsnya usaili kuanzia juni 19 hadi 27 taaasisi nyingi na nilisikia huenda wakaongeza na TSN
Ili kuanzia jumatatu watu waanze kufika utumishi kuchukua barua mkuu sijui wataitema leoPlacement ndio kityu kilichobaki leo tufunge tukiomba jina liwepo
Naiona leo usikuIli kuanzia jumatatu watu waanze kufika utumishi kuchukua barua mkuu sijui wataitema leo
Daah mungu afanye wepesi sana yani katika hili lilo mbele yetuNaiona leo usiku
Mungu akupiganie msakatongeAisee huku SUA ni kipute juu ya kipute... Asubuhi tumepokewa na mtihani wa Kiingereza...
Hapa kuna ambao tumeandaa presentation tayar tunasubiria kumenyeka na ma prof... mambo ni tight sana hapa
Thanks mkuuMungu akupiganie msakatonge
Kwa kuwa kila mmoja ana haki ya kuomba kazi bila kujali status yake, tuishi humo humo kwenye race ya kuufikia mrija.Hahaha, nimehofia ndugu yetu ni miongoni mwa watoto wa vigogo, ni vigumu sana kwa wao kuelewa kwamba ipo tofauti kubwa kati yao na wa masikini wakigombania fursa inayofanana.
Kuna mmoja hatatumia nguvu nyingi na uwezekano wa kuonekana ni mkubwa, na kuna mwingine atatumia nguvu zote na uwezekano wa kuonwa ni mdogo sana.
Mtihani tena?Aisee huku SUA ni kipute juu ya kipute... Asubuhi tumepokewa na mtihani wa Kiingereza...
Hapa kuna ambao tumeandaa presentation tayar tunasubiria kumenyeka na ma prof... mambo ni tight sana hapa
Kuna sisi tulifanya tarehe 12 May placement pia bado yanPlacement hii sijui itakuwa na page ngapi maana waliofsnya usaili kuanzia juni 19 hadi 27 taaasisi nyingi na nilisikia huenda wakaongeza na TSN
Basi hatari mkeka utatuna sanaKuna sisi tulifanya tarehe 12 May placement pia bado yan
Kwa kuwa kila mmoja ana haki ya kuomba kazi bila kujali status yake, tuishi humo humo kwenye race ya kuufikia mrija.
Hii ni sawa na tuko kwenye riadha, kuna watu tofauti(warefu, wafupi, wenye pumzi, mbio kali n.k) na kila mmoja anapambana kushinda.
Kwa yule mrefu, ana pumzi na mbio kali hivi atashindwa kushinda kweli? basi halaiki tupambanie nafasi kuanzia ya pili
Aisee huku SUA ni kipute juu ya kipute... Asubuhi tumepokewa na mtihani wa Kiingereza...
Hapa kuna ambao tumeandaa presentation tayar tunasubiria kumenyeka na ma prof... mambo ni tight sana hapa
Hapo ndiyo kuna mawili wiki lijalo au leoSiku inaondokaaaaa hiyoo.......
Leo kama siku ishangukaaaaHapo ndiyo kuna mawili wiki lijalo au leo
Kwahiyo tulaleLeo kama siku ishangukaaaa
Tutaanza kulala saa tatu....Kwahiyo tulale