Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Adha tunazopata kwa baadhi ya watumishi kwenye baadhi ya Taasisi ni kichomi sana, bora tuambizane hapa kabisa kabla hawajaingia huko ingawa wakiingia tu lazima wabadilike
Hii tabia wanayo hasa wanawake,ila ukikuta mwanaume anatabia za hivyo, za kutoa huduma Kwa nyodo ni wachache sana....Yote juu ya yote, tukifanikiwa tukawe watumishi –wema, ,wenye nidhamu na juhudi katika kutumikia wananchi.
 
Back
Top Bottom