Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kuna PDF ya Bunge imetoka, watu ni wengi balaa hadi nimepigwa na butwaa

Nafasi ya Katibu Msaidizi wa Bunge II inapambaniwa na 2455

Hahaha, hapa mdogo wangu ameitwa. Na ukisoma baadhi ya majina utagundua kuna watoto wa vigogo kibao nao wameomba. Kama nafasi yenye namba 1342 ni wa Palamagamba Kabudi, aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria.
 
Back
Top Bottom