Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hapana sio connection maana hata mimi nipo kwenye hayo majina walikosea kuniandikia not shortlisted na sababu waliandika sijasaini barua wakati nimesaini nikawapigia simu wakaangalia kwenye system wakakuta sina makosa wakaniambia nijjiandae na interview watarekebisha na ndio hayo majina sasa unayoyaona hapo
Ahaa sawa mkuu shukrani sana🙏🏾🙏🏾
 
hata muongozo tu utanifaa sana,shukran
Basic knowledge ya kada yako na Basic knowledge ya Research. Ukifahamu hivi basi uwezekano wa kupita written ni mkubwa. Huko oral jitahidi ujue JD (job description zilizo kwenye tangazo la kazi yako) kisha ujue kujielezea vizuri na pia omba Mungu sana. Kila la kheri kwa wote mnaoenda kufanya interview.
 
Basic knowledge ya kada yako na Basic knowledge ya Research. Ukifahamu hivi basi uwezekano wa kupita written ni mkubwa. Huko oral jitahidi ujue JD (job description zilizo kwenye tangazo la kazi yako) kisha ujue kujielezea vizuri na pia omba Mungu sana. Kila la kheri kwa wote mnaoenda kufanya interview.
Asante sana mkuu ubarikiwe
 
Hapana sio connection maana hata mimi nipo kwenye hayo majina walikosea kuniandikia not shortlisted na sababu waliandika sijasaini barua wakati nimesaini nikawapigia simu wakaangalia kwenye system wakakuta sina makosa wakaniambia nijjiandae na interview watarekebisha na ndio hayo majina sasa unayoyaona hapo
Mkuu, uliwapigia Simu au uliwatumia Email,,, maana ni Nasra sana wale Wakuu kupokea simu
 
Basic knowledge ya kada yako na Basic knowledge ya Research. Ukifahamu hivi basi uwezekano wa kupita written ni mkubwa. Huko oral jitahidi ujue JD (job description zilizo kwenye tangazo la kazi yako) kisha ujue kujielezea vizuri na pia omba Mungu sana. Kila la kheri kwa wote mnaoenda kufanya interview.
Kujielezea huko kujielezea nn.. swali la education background ni dakika moja tu unamalizia maswali mengine sio complicated
 
Back
Top Bottom