Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Hao hawakujipanga.. oral ya watu 170?? hiyo ilikuwa mnapigwa mchanga wa macho.. walishapata mtuYani ndio hivyo tuliitwa mazima oral watu 276 ila wengine hawakutokea tulitokea 170 Sasa ndiyo sijui hesabu yao ikoje
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app