Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwa hizi pdf ninazoziona hapa kwenye tovuti ya PSRS.. basi nachelea Kusema mpaka kuishi saili za hizi Shortlisted watakuwa wametafuna ½ na ⅓ ya kazizote zilizotangazwa Hadi Sasa,
Urgently naona zimebaki taasisi zifuatazo.
USDM,, Lectures & Tutorials and
Technicians
SUA,, Technicians
MDA's & LGA's,, Mkeka wa Taifa
TRA,, Mkeka wa Taifa
WIZARA YA KILIMO,, Mkeka wa Taifa
UDOM,, Lectures & Tutorials.
LITA,TARILI,, Technicians.

Kama nimeacha basi ni Taasisi chache
Kuna mkeka wa dunia unaitwa NAOT umeusahau?
 
Usiwe na hofu mkuu, kama bado received it means bado hawajajaza numbers za usaili hata kama mkeka wametoa. Huwa inachukua siku 1 hadi 2 kujaza kwenye accounts. Shida kama ungeandikiwa not shortlisted

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kumbe matumaini yapo

Mi nilijua kwenye mkeka usipokuwepo ndio imetoka hivyo sijawahi experience hichi kitu nakumbuka tu zamani kama ni shortlist wanaandika pale kabisa

Ngoja nisubiri Ile received Kama itabadilika kuwa not shortlist au shortlist
 
Kumbe matumaini yapo

Mi nilijua kwenye mkeka usipokuwepo ndio imetoka hivyo sijawahi experience hichi kitu nakumbuka tu zamani kama ni shortlist wanaandika pale kabisa

Ngoja nisubiri Ile received Kama itabadilika kuwa not shortlist au shortlist
Mkuu sikukatishi tamaa, Ila ukiona jina halipo kwa pdf basi ujue uko Not shortlisted
 
Kuna mtu leo kaniambia hao watu wapo 3, mmoja anafanyia kazi ofisi ya mikoani, wengine(2, mbaye mimi namfahamu 1) wapo ofisi ya Dar.

Tumewasindikiza, watoe tu matokeo mapema mimi nisepe zangu

Mkuu, japo unaloongea ni kweli linakatisha tamaa lakini usipoteze matumaini, vuta subira.
 
Utumishi hawataki utani kabisa, Sasa hv ni Toa Weka, Sasa Utajua hujui.. umekwenda wiki hii kupiga pepa ya Bunge na wiki ijayo una saili nyingine.. utarudi kwenu au utaamua kupanga chumba Huko Dodoma[emoji16][emoji16].
Ukipigia mahesabu kuishi Guest unakuta 200,000/= hii hapa kwa ajili ya Guest tu, Kumbuka hyo ni cheap guest isiyozidi 10,000.

Haya wasaka Mirija ya Asali tusikate tamaa

Hahaha, Mkuu kuhudhuria Saili nako kwa sasa kumekuwa kama kubeti, kadiri unavyotake risks kubwa inabidi uhakikishe return nayo ni kubwa.

Kuna Saili mtu unaweza ukaitwa ila ukicheki risks zilizopo haziendani na returns, inabidi unapotezea.
 
Hakuna kimakosa pale pdf zote ninazo za zinaonesha zimetoka Leo tar 7.. hyo ni issue ya Mtandao tu but soon zitarudi

Mkuu, kama unazo naomba utusaidie kuzituma hapa au pm tafadhali.
 
Back
Top Bottom