meck pro
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 1,353
- 2,924
Mie nishafanya interview moja tu na ndo hiyo nilifanya oral mkuuUmefanya oral ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie nishafanya interview moja tu na ndo hiyo nilifanya oral mkuuUmefanya oral ngapi?
Kwa maana job description?Kada ni ya afya lakini maswali waliyouliza ni yale basics ya kazi unayoenda kuifanya na theory behind ya hizo kazi
Ndio lakini ujue theory zaidi ya hizo duties zako umeze na madesa ya class
Hahahaa. Tuzidi kuombeana mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asaivi lazima uende kiongozi tuombe uzima tu ,sema hawa watu wanatukanda sana aiseeh juzi niliulizwa swali kwenye oral ambalo sikutegemea afu huwa naliona nasema hili hawawezi kuuliza
Hii September imekimbia sana aisee.Week mbili za September zimekata bado mbili no placement za saili zote kuanzia mwezi wa Tano Nini kinaendelea,,,,,
Tumesubiri imekuwa too muchHii September imekimbia sana aisee.
Kidogo hii mikeka ya interview imetuweka busy ingawa giza kwa wanaosubiri placements za miezi ya nyuma.
Tuendeleze subira
Naona CHUO CHA IAA wametoa Ajira za kumwaga
Sawa mkuuNdio lakini ujue theory zaidi ya hizo duties zako umeze na madesa ya class
Na ww umo mzigoTFS Guard
Raba
Track
Kwe mchujo
No kuna dogo langu yupo
Hongera kwake, Akalambe Asali sasaNo kuna dogo langu yupo
Akapambanie kombeHongera kwake, Akalambe Asali sasa
Interview ilifanyika mwezi Gani mkuuSUA wametoa placement yao jana
25-27 August 2022Interview ilifanyika mwezi Gani mkuu