Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

mzigo bado hata mm nasubirii.
maana Oral tulipiga ijumaa.

ila tuliambiwa tuwe-tunapitiia website. mda wowote yanatoka kabla ya Oral.
So nikusikiliziiiia tu.
Ilikuwa written hiyo Ijumaa ee, maana Oral ni kesho
 
Oral kuna wengine trh 5 wengine trh 6 na 7
Sawa mkuu, Kila la kheri nyote..

Wengine tuliondoka na PASS hizo za kufundisha zinatupita tu machoni, ngoja tupambane na zingine ambazo hazihitaji GPA
 
Mkuu Mwifwa kama PSRS wakitoka mikeka siku lolote naomba unitag humu.. yaan kuanzia leo sitaki kuingia web ya PSRS Hadi nitakaposikia Kuna MIKEKA ya saili,, nimezira kabisa
 
Placement nishamuachia Mungu naona uwezo wangu umeisha niache mipango yake tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utapigwa surprise hutoamini, utaamuka unaogelea kwenye mrija kama teuzi za wanasiasa, usiku analala jobless anaamka anakuta Vieitee na wavaa suti wapo kibarazani kwake[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Utapigwa surprise hutoamini, utaamuka unaogelea kwenye mrija kama teuzi za wanasiasa, usiku analala jobless anaamka anakuta Vieitee na wavaa suti wapo kibarazani kwake[emoji3][emoji3][emoji3]
😂😂😂😂😂Kwamba nitaamka nipo kwenye vieitee hahhhh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa lazima uote hata kama ni mchana
Enzi nilipokuwa Internship, kitaa waliniona nina kazi, ruti za daily kuondoka asubuhi huku nikiwa napishana wengine kulikuwa na kavibe fulani.

Baada ya kumaliza, si nikakaribishwa kitaa sasa[emoji3][emoji3][emoji3] na ujobless ukaanza
 
Hahahahaaa, omba mkuu hata kama huna hiyo upper second, zari linaweza kukuangukia kwa jema
Utakuwa ni upotezaji wa muda na gharama. Kama huna vigezo vilivyowekwa unafanya maombi ili iweje?

Kumbuka kuna mchakato wa vetting linalofanywa na watu wenye maadili ma uzoefu.
 
Back
Top Bottom