Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Na hata initial za salary zao zinatofautiana vyuo vikuu kama IDSM, SUA, MUST nk wanatumia PUTS ila kwenye taasisi za elimu ya juu mfano NIT, IFM nk wanatumia PHTS . kuna mdau aliwai nambia hawa wa PHTS ndio ipo juu kidogo kuliko PUTS sijui ni kweli au maneno tu
Lowest ranked PUTS ni kubwa zaidi ya lowest ranked PHTS, japokua hazipishani kwa kiwango kikubwa sana.
 
wakuu Tanroad Geita.kuna kazi wametangaza sasa mm nafit kwenye post ya Shift-in charge.so nashangaa upande wa qualifications wanahitaji age not less than 35.wana maana gani na ni vipi wanaweka kigezo cha umri ??hivi wanaijua njaa ya mtaani hawa doh
 
Naomba kuuliza ili ufaulu oral kazma ujibu exactly answers au ata ukiwa na concept yan mfano umeambiwa u define kitu ukitoa concept yake ilo swali unakua umepata au chaka, kwa yoyote mwenye uzoefu plz
 
Naomba kuuliza ili ufaulu oral kazma ujibu exactly answers au ata ukiwa na concept yan mfano umeambiwa u define kitu ukitoa concept yake ilo swali unakua umepata au chaka, kwa yoyote mwenye uzoefu plz
Mkuu hakuna anayefahamu utoaji wa maks wa oral mkuu labda awe mtu wa kwenye panel tofauti na hapo we tegemea chochote
 
Mie nishitwa kazini mkuu ila Bado utaratibu haujakamilika pia Bado nasubr majibu Ya IAE Nilipiga interview pia nasubiri mkeka wa ASA kwenda interview 🤣🤣🤣 Pia nasubiri mkeka Wa TRA Yan kifupi utumishi wamedandia mtumbi wa vibengo mkuu🤣
Safi sana mkuu na hongera mno post nilikua ngap ulopata na oral mliingia wangap
 
wakuu Tanroad Geita.kuna kazi wametangaza sasa mm nafit kwenye post ya Shift-in charge.so nashangaa upande wa qualifications wanahitaji age not less than 35.wana maana gani na ni vipi wanaweka kigezo cha umri ??hivi wanaijua njaa ya mtaani hawa doh
Shift-in charge ni kiongozi anayewasimamia wafanyakazi wote kwenye mzani husika mfano kama pale mizani ya vigwaza, au makambako, popote pale wafanyakazi wote wapo chini ya SHIFT IN CHARGE. yaani WEIGHTBRIDGE OPERATOR, OFFICE ASSISTANT, DRIVER na walinzi wote wanaripot kwa SHIFT IN CHARGE.

Ndio maana wanataka mtu mwenye miaka 35 +
 
Mie nishitwa kazini mkuu ila Bado utaratibu haujakamilika pia Bado nasubr majibu Ya IAE Nilipiga interview pia nasubiri mkeka wa ASA kwenda interview 🤣🤣🤣 Pia nasubiri mkeka Wa TRA Yan kifupi utumishi wamedandia mtumbi wa vibengo mkuu🤣
😂😂😂😂Kwamba asaivi unawakanda utumishi hahhhh
 
Ninavyojua mfumo unazuia mtu wa degree kuomba kz za diploma,kwenye masters sina uhakika
Hata kwenye masters mfumo upo hivyo. Huwezi kuomba kazi inayotaka first degree ukiwa na masters.

Labda hiyo master iwe listed kama additional advantage.
 
Back
Top Bottom