Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,405
- 13,411
Na oral mlikua wangapi?Naomba Mungu namm itokee hvo namimi nipate maana nafas zetu zilikua 2 tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na oral mlikua wangapi?Naomba Mungu namm itokee hvo namimi nipate maana nafas zetu zilikua 2 tu
KumiNa oral mlikua wangapi?
Kawaida sana mkuuu hiyo huwa wanachukua wengi tu karibu sawa au Zaid ya mara mbili ya nafasiKumbe inawezekana wakachukua wengi wakati mwingine
Ndio mkuuuUzuri waliwachukua zaidi ya 5 kama 9 hvi that was good
Hapo patamu sisi tulikua wanne nafasi 2Kumi
Hvi hawa jamaa oral pia wataangalia walau ufike 50%? Kama ilivyo written?Na oral mlikua wangapi?
Ukozingua Oral hata kama upo peke yako hutoboiHvi hawa jamaa oral pia wataangalia walau ufike 50%? Kama ilivyo written?
Hahahah basi wataka ufike angalau 50%Ukozingua Oral hata kama upo peke yako hutoboi
Hapo patamu sisi tulikua wanne nafasi 2
Tuseme AmenNyinyi probability ni kubwa sana ya kutoboa
Enfelea na kusimama na maombi hapo unakaribia mrija wa asali nafasi moja mnashindania watu wawili safi sana hii,unaweza shangaa wakachukua wote 4 au 3Hapo patamu sisi tulikua wanne nafasi 2
Ni Mungu tuHahahah basi wataka ufike angalau 50%
Shida uhoni wanawekaje hizo alama ni mungu tu akusimamaie
Tuombe uzima tu kakaEnfelea na kusimama na maombi hapo unakaribia mrija wa asali nafasi moja mnashindania watu wawili safi sana hii,unaweza shangaa wakachukua wote 4 au 3
ni nafasi gan na taasisi gan ilikuaTuombe uzima tu kaka
Hapo patamu sisi tulikua wanne nafasi 2
Kabsa ukzingua hupati kz hata kama uko peke akoUkozingua Oral hata kama upo peke yako hutoboi
Hili zali safi sana...ilitokea TRA waliofka oral krb wote wlipt kzKawaida sana mkuuu hiyo huwa wanachukua wengi tu karibu sawa au Zaid ya mara mbili ya nafasi
Sana kakaKuna mambo sometimes yanafurahisha sana aisee
Waliweka matangazo yakuomba kazi Jana mzeeHv wadau hii website ya Utumishi mbona kama imetelekezwa.. Maana Haina mpya lolote
Leo mbona hamna mpya... Watu wanahitaji tangz z Usaili..Waliweka matangazo yakuomba kazi Jana mzee