Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hv wadau hii website ya Utumishi mbona kama imetelekezwa.. Maana Haina mpya lolote
Tuanze kusema tena watuletee mikando maana placements wamezikalia utafikiri data base imeingia viruses
 
Kushapambazuka, Jmosi tulivu pande hizi, mood ya kukandwa inaendelea kumea taratibu kama mmea wa Cucuts jangwani.

PSRS pulizeni hicho kipenga
Screenshot_20221008-072732.jpg
 
Kushapambazuka, Jmosi tulivu pande hizi, mood ya kukandwa inaendelea kumea taratibu kama mmea wa Cucuts jangwani.

PSRS pulizeni hicho kipengaView attachment 2380314
Mkuu, na nilikuwa nahitaji kile kitabu cha board ya uhasibu cha auditing and assurance services kila nikidownload nakwama, vp waweza nisaidia kudownload halafu unip.m
 
Mkuu, na nilikuwa nahitaji kile kitabu cha board ya uhasibu cha auditing and assurance services kila nikidownload nakwama, vp waweza nisaidia kudownload halafu unip.m
Nielekeze website ya kukipata nikidownload
 
Back
Top Bottom