Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Hatuna namna mkuu, tuwasubiri hivyo hivyo tuJiandae..
Ingawa Utumishi wapo slow sana mambo yao. Kuna vitu simple tu lakini kwao ni process
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuna namna mkuu, tuwasubiri hivyo hivyo tuJiandae..
Ingawa Utumishi wapo slow sana mambo yao. Kuna vitu simple tu lakini kwao ni process
😂😂😂😂😂Naona umeamua ukawakande sasaKushapambazuka, Jmosi tulivu pande hizi, mood ya kukandwa inaendelea kumea taratibu kama mmea wa Cucuts jangwani.
PSRS pulizeni hicho kipengaView attachment 2380314
Hii ni mikwara ya mbu nje ya neti[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona umeamua ukawakande sasa
Hahahaaa.Vijana Leo ndo msijisumbue tu kuhusu updates za PSRS.. Watumishi wote wako bize na Mechi ya Yanga majumbani kwao[emoji23][emoji23]
Me kwenye kupandisha mafaili nashindwa kuelewa.. maana ni ngumu kukuta wamepandisha faili la Usaili au placements mda wa kazi.. ni kuanzia usiku wa saa 1 mpaka saa 3.Hahahaaa.
Hivi wanapopandishaga matangazo usiku mnene, ina maana wanapiga kazi hadi usiku huo? naona wanafaidi extra time tu
Basi sisi tuendelee kusubiri siku yeyote tu na muda wowoteMe kwenye kupandisha mafaili nashindwa kuelewa.. maana ni ngumu kukuta wamepandisha faili la Usaili au placements mda wa kazi.. ni kuanzia usiku wa saa 1 mpaka saa 3.
Tena siku Nyingine wanaweka weekend kama hii Leo, unaweza kuona kitu hichoooooooooooo
😂😂😂😂Ngoma zinatokeaga kama umeme ukirudi vile unaona dude hiloooMe kwenye kupandisha mafaili nashindwa kuelewa.. maana ni ngumu kukuta wamepandisha faili la Usaili au placements mda wa kazi.. ni kuanzia usiku wa saa 1 mpaka saa 3.
Tena siku Nyingine wanaweka weekend kama hii Leo, unaweza kuona kitu hichoooooooooooo
Mchana network zinakuwaga busy maofisi mengi sio utumishi tu fatilia website nying za serikali matangazo mengi au updates nyingi zinafanyika usiku fatilia kuanzia leoMe kwenye kupandisha mafaili nashindwa kuelewa.. maana ni ngumu kukuta wamepandisha faili la Usaili au placements mda wa kazi.. ni kuanzia usiku wa saa 1 mpaka saa 3.
Tena siku Nyingine wanaweka weekend kama hii Leo, unaweza kuona kitu hichoooooooooooo
,😂😂😂daaah hutaki maelezo mengi mzeeWww.psrs.go.tz
I hope unaijua hiyo website mkuu.
Mimi kama afisa mwandamizi wa mikando, leo tulikuwa busy na mechi ya Yanga, hivyo tuendelee kuwa na subiri hadi wiki ijayoTaarifa yoyote wadau?
Mkuu,utumishi wanachosha mno,😂😂😂daaah hutaki maelezo mengi mzee
Wiki inayoanza kesho kutwa j3 placements zinakuwa kwa hewa so tuvute subira tu.Mimi kama afisa mwandamizi wa mikando, leo tulikuwa busy na mechi ya Yanga, hivyo tuendelee kuwa na subiri hadi wiki ijayo
😂😂😂😂😂Tuombe Mungu tu haya mambo sio poa kabisaWiki inayoanza kesho kutwa j3 placements zinakuwa kwa hewa so tuvute subira tu...... Kabla yq ijumaa mambo yatakuwa yamekwiva na miongozi mwetu hapa watakuwa wameshanyakuliwa na kubadilisha majina toka MA JOBLESS nakuwa PUBLIC SERVANTS
😂😂😂😂Hahhhh umeenda kutoa stress uwanjaniMimi kama afisa mwandamizi wa mikando, leo tulikuwa busy na mechi ya Yanga, hivyo tuendelee kuwa na subiri hadi wiki ijayo
Sana yani unakua huna amani muda woteMkuu,utumishi wanachosha mno
Dah nimeangalia empty amna jipyaWww.psrs.go.tz
I hope unaijua hiyo website mkuu.
Ahahaha utumishi watuajiri tu maana tuna uvumilivu sana sio kwa hii mistressMimi kama afisa mwandamizi wa mikando, leo tulikuwa busy na mechi ya Yanga, hivyo tuendelee kuwa na subiri hadi wiki ijayo