Gavano23
JF-Expert Member
- Jan 30, 2022
- 2,056
- 5,340
Hahaha pole sana mkuu utumishi sio watu wazuriYale maswali ya security yamenikanda utasema sijasoma security aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha pole sana mkuu utumishi sio watu wazuriYale maswali ya security yamenikanda utasema sijasoma security aisee
Wanaweza me namjua mtu alifanya security wakampeleka system adminHv kwamfano mimi si nimefanya system admin ikapatikana nafas ya database admin wanaweza nichukua au
Asante kaka nimekandwa na lile baridi la Dom nimerud Dar nimeanza kusoma upyaHahaha pole sana mkuu utumishi sio watu wazuri
Lakn ukiangalia security na admin wote prac wanapigaga linux sa sijajua kama mtu wa system admin anaweza pelekwa lets say database au business analystWanaweza me namjua mtu alifanya security wakampeleka system admin
Usikate tamaa mkuuYale maswali ya security yamenikanda utasema sijasoma security aisee
Umepiga CIS ya info?Yale maswali ya security yamenikanda utasema sijasoma security aisee
Wanaangalia zinazofananaLakn ukiangalia security na admin wote prac wanapigaga linux sa sijajua kama mtu wa system admin anaweza pelekwa lets say database au business analyst
Yeah kaka lakini nimekandwa siamini yaaniUmepiga CIS ya info?
ItakuaWanaangalia zinazofanana
Kabisa mkuu mimi sikati tamaa hapa ndo nimeongeza kasi ya kupiga msuliUsikate tamaa mkuu
Maana yake kwa sasa hakuna mikandoNo any interview currently.
Wakandaji wameamua kusema hivi
Hapa nikupambana tu mi mwenyew nikikandwa hz post naanza kusoma upyaKabisa mkuu mimi sikati tamaa hapa ndo nimeongeza kasi ya kupiga msuli
Msuli ntakaoupiga ni kama wa kuchomoa sup ya data miningMaana yake kwa sasa hakuna mikando
Kirefu chakeUmepiga CIS ya info?
😂😃😃Msuli ntakaoupiga ni kama wa kuchomoa sup ya data mining
Wanaandaa mikeka ya placementNo any interview currently.
Wakandaji wameamua kusema hivi
Kweli kaka kinachonitiaga moyo nakosaga padogo sana naamini siku nitatoboa nikiongeza juhudiHapa nikupambana tu mi mwenyew nikikandwa hz post naanza kusoma upya
Computer and information securityKirefu chake
Ukishazoea utakua nikutoboa mpka oral tuKweli kaka kinachonitiaga moyo nakosaga padogo sana naamini siku nitatoboa nikiongeza juhudi