Sys-root
JF-Expert Member
- Mar 11, 2016
- 365
- 548
Kwahiyo na wale walioomba inakuwaje sasa me nadhani wataitwa kwa awamu maana ni wengi sanasio kila nafasi lazima muitweee... nyingine huchukuliwa watu wa Database
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo na wale walioomba inakuwaje sasa me nadhani wataitwa kwa awamu maana ni wengi sanasio kila nafasi lazima muitweee... nyingine huchukuliwa watu wa Database
Wataitwa tu lazimaKwahiyo na wale walioomba inakuwaje sasa me nadhani wataitwa kwa awamu maana ni wengi sana
Bila kusahau Afisa Takwimu II akuna pia...Mbona nafasi ya Afisa Utumishi katika MDs na LGs zijaziona?, Pia nafasi ya Admission Officer ya Open hazipo. Miezi 5 tunapeana stress tu. Nchi hii.
Sasa kulikuwa na umuhimu gani wakusumbua Watu ?Ikiwa wanachukua kwenye Database .vipi status zetu kwenye account ,mbona zipo vile vile received?Yawezekana nafasi zingine watawapatia watu toka kanzidata ya waliofanya oral September
Me naamini hizo nafasi hawatoita tena,watachukua tu kwenye databaseKwahiyo na wale walioomba inakuwaje sasa me nadhani wataitwa kwa awamu maana ni wengi sana
Hata MOCU hazipoMbona nafasi ya Afisa Utumishi katika MDs na LGs zijaziona?, Pia nafasi ya Admission Officer ya Open hazipo. Miezi 5 tunapeana stress tu. Nchi hii.
Hiyo ngumu sana na sijawahi kuona watu waombe alafu wasiite wachukue kwenye databaseMe naamini hizo nafasi hawatoita tena,watachukua tu kwenye database
Hiyo ngumu sana na sijawahi kuona watu waombe alafu wasiite wachukue kwenye database
Miezi 6 imepita bila kuitwa interview mkuu.unadhani ni nini zaidi ya kusema tu hao wameamua kuchukua kwenye database yao?
Nafasi za accounts officers na accountants za lga pia sijaziona ?Mbona nafasi ya Afisa Utumishi katika MDs na LGs zijaziona?, Pia nafasi ya Admission Officer ya Open hazipo. Miezi 5 tunapeana stress tu. Nchi hii.
Sawa mkuu, tupo pamojaMkeka la MDA's & LGA's umepasuliwa mara mbili,. Awamu ya pili utahusisha wahasibu na wakaguzi wa ndani,. Awamu hiyo itahusisha mkeka wa NAOT,. Tuendelee kupiga msuli. Hatujui siku wala saaa.
Ukiona wamechukua kwenye Database ujue hawatoagi announcement za position huwaga wanachukua automatically, na kama walitoa jua kwanza zile public announcement zimeshajazwa so za database zinakuwaga kimyakimya,so jua tu interview soon utaitwa kama uliomba kwa usahili.Me naamini hizo nafasi hawatoita tena,watachukua tu kwenye database
Ok.ngoja tuendelee kuwa na matumaini mkuuUkiona wamechukua kwenye Database ujue hawatoagi announcement za position huwaga wanachukua automatically, na kama walitoa jua kwanza zile public announcement zimeshajazwa so za database zinakuwaga kimyakimya,so jua tu interview soon utaitwa kama uliomba kwa usahili.
Kama kazi imetanangazwa basi ni lazima wataitwa Usaili hamna Cha database.. wanaochukuliwa database kazi hizo Huwa hawazitangazi.. kama taasisi inahitaji kwa mda huo Huwa wanapewa moja kwa moja.sio kila nafasi lazima muitweee... nyingine huchukuliwa watu wa Database
Mkeka la MDA's & LGA's umepasuliwa mara mbili,. Awamu ya pili utahusisha wahasibu na wakaguzi wa ndani,. Awamu hiyo itahusisha mkeka wa NAOT,. Tuendelee kupiga msuli. Hatujui siku wala saaa.
hata mchumi daraja la 11 .haipo mkuuMkeka la MDA's & LGA's umepasuliwa mara mbili,. Awamu ya pili utahusisha wahasibu na wakaguzi wa ndani,. Awamu hiyo itahusisha mkeka wa NAOT,. Tuendelee kupiga msuli. Hatujui siku wala saaa.
Mkeka la MDA's & LGA's umepasuliwa mara mbili,. Awamu ya pili utahusisha wahasibu na wakaguzi wa ndani,. Awamu hiyo itahusisha mkeka wa NAOT,. Tuendelee kupiga msuli. Hatujui siku wala saaa.