ery mendez
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 298
- 626
Ndio nasubr ya egaLakini si Bado kuna placement unasubiri mkuu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nasubr ya egaLakini si Bado kuna placement unasubiri mkuu??
UMEMALIZA MKUU👏👏👏👏Hahaha, Mkuu una michezo ya hatari sana.
Ndugu wasaka ajira naomba nirudie mara kwa mara hii kauli mpaka inase vichwani hadi tunakufa, na ikiwezekana kila tukiamka asubuhi tuiseme mara sita na tusukumie na glass ya maji baridi, ni hivi: “KWA SOKO LA AJIRA LA TANZANIA KWA SASA, KUPATA KUNA MAANA ZAIDI KULIKO UMEPATA NINI”.
Mimi naamini mpaka mtu uliiomba nafasi, kuna mazuri uliyaforesee kwenye hiyo taasisi.
Kuliweka ombi lako la ushauri kwa lugha rahisi ni kwamba, unataka uachane na ajira uliyoipata ili ukatafute ambayo ni bora zaidi ila bado hujaipata na huna uhakika wa kuipata, Hahaha.
Anza kwa kujiuliza tofauti na hiyo ajira uliyoipata sasa hivi una ajira ipi, ili hata ukikosa zote hii ya NGO na NAOT ujue utabaki na kipi, kama huna au iliyopo ni mbovu zaidi akili ikucheze, kama unayo ya maana zaidi, hakuna shida fanya maamuzi yoyote hutakuwa umekosea.
Mkuu angalia uwezekano wa kwenda sehemu zote mbili, ikishindikana nenda ulikopata.
Na mimi kesho saa 6 nina legal officer NAOTHahahaa, tunapokezana.
Zamu yetu sasa kesho
Jina lipo kanzi data tena, nahisi ata hiyo miezi sita ya kukaa inakaribia isha🥱Hongera dada, utatoboa this time hata coz pia jina lako lipo utumishi kanzi data
Oral imeendaje mliyofanya?Na mimi kesho saa 6 nina legal officer NAOT
😂😂😂😂 kesho sasa umuhifadhi jobless wetu MwifwaMkaka mmoja na three girls, sisi wengine ni kazi kazi jaman ilimradi siku zimefika tumefanya interview, mkaka kaondoka after oral, na the rest wawili wanaondoka kesho asubuhi mwingine anasubir NAOT na mimi pia Alhamisi
Usiku bus zinakuepo?Tupo mtu kibao. Ila tunaondoka jioni(usiku) ili tufike Dom asubuhi then mchana tukakandwe na tukitoka tuu tunageuza zetu Dar.
Tupo mtu kibao. Ila tunaondoka jioni(usiku) ili tufike Dom asubuhi then mchana tukakandwe na tukitoka tuu tunageuza zetu Dar.
😂😂😂😂Ungekuwa mbaya usingekuwa na roho yakizungu hivyoMzuri umeniona[emoji1787]
Mkuu ivi unaachaje kwenda kukamilisha dili la 1.4M kisa usaili ambao probability ya kupata ni ndogo sana kutokana na competition.Naombeni ushauri wadau leo nimepigiwa simu ya kuripoti kazini private non profit org salary 1.4m na kesho natakiwa niende dom kupiga usaili naot nafas 3 nifanyeje akili imestuck
Daah, nimepanda basi la vimbwengo(NBS), sijaridhika na mwendo, hapa kufika ni saa tisa kabisa.Safi bro, All the best
Ahsante sana mkuu.All the best job seekers.
Bajeti ya nauli tuinywee supu hapo saba saba basiNilipata lift ya mapema mkuu
Utakuwa venue ipi? mimi nitakuwa CBSL.Na mimi kesho saa 6 nina legal officer NAOT
Nimepata chimbo langu la bei rahisi huku nzuguni.bei ya room per day ni elfu 8,maji yapo,na chumba ni kizuri tu.mtaani chai kikombe ni 200/=,andazi 200/= chapati ni 300/=.supu inaanzia 1000/=,ugali dagaa ni kuna wa 1000/= na wa 1,500/=.Bajeti ya nauli tuinywee supu hapo saba saba basi
😂😂😂😂 Chamuhimu ufike mzeeDaah, nimepanda basi la vimbwengo(NBS), sijaridhika na mwendo, hapa kufika ni saa tisa kabisa.
Shukrani mkuu
Huoni utapata gharama yakusafiri asubuhi kwenda udom???maana hapo watakupiga buku 8 mpaka 10 kwa bodaNimepata chimbo langu la bei rahisi huku nzuguni.bei ya room per day ni elfu 8,maji yapo,na chumba ni kizuri tu.mtaani chai kikombe ni 200/=,andazi 200/= chapati ni 300/=.supu inaanzia 1000/=,ugali dagaa ni kuna wa 1000/= na wa 1,500/=.
Naamini nimepunguza cost mno tofauti na ningekaa maeneo ya town huko.
😂😂😂😂HahhhhhHahahahaa, jobless naona umemjali jobless mwenzio kwa kumuombea ofa.
Ebu niisikilizie huyu mdada mzuri anaweza kufanya jambo
Uzuri usaili mpaka wamalize kukagua vyeti ni saa 3,so nikiamka saa 12 asubuhi nikachukua daladala mpaka sabasaba then nikachukua ya udom..naamini saa 1 na dakika kadhaa ntakua udom .Huoni utapata gharama yakusafiri asubuhi kwenda udom???maana hapo watakupiga buku 8 mpaka 10 kwa boda
Hilo chimbo limelielewa aiseeNimepata chimbo langu la bei rahisi huku nzuguni.bei ya room per day ni elfu 8,maji yapo,na chumba ni kizuri tu.mtaani chai kikombe ni 200/=,andazi 200/= chapati ni 300/=.supu inaanzia 1000/=,ugali dagaa ni kuna wa 1000/= na wa 1,500/=.
Naamini nimepunguza cost mno tofauti na ningekaa maeneo ya town huko.