moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,976
- 16,769
hahahaaa hela unayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ikishindikana kwenda kuchukulia barua hii nitavaa kwenda kumchumbia mtoto mkaliii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaaa hela unayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ikishindikana kwenda kuchukulia barua hii nitavaa kwenda kumchumbia mtoto mkaliii
hahaaha kaitindika kwenye enga,hajaanza kuipiga pasi leoNimevuta picha unavyoitoa na kuirudisha kabatini[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]usisahau kuchukua na bible[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeamua kuivaa nazurula nayo mtaani
Kama your lucky enough taasisi wanayokupeleka pia wanaweza wakawa wanakulipa pia uka top up na hio 150malipo laki na nusu thubutuuu
😂😂😂😂😂😂 Namchumbia Prok jobless mwenzangu hiyo bila hela yani nikienda najitambulia tu I am ..mr jobless pro-max nikubalie ukinikataa nafanya kama katibu wa firi friihahahaaa hela unayo
Umesomea masomo gani na ufaulu upoje mzee?ili tukushauri vizuriWakuu samahanini naomba nitoke nje ya mada kidogo, naomba kujuzwa baadhi ya short courses zinazotolewa na vyuo mbalimbali hapa D'Salaam!
Elimu yangu ni kidato cha sita nahitaji kutafuta/kuongeza ujuzi, na pia nitahitaji ushauri wenu katika hilo. Asanteni[emoji120]
Hahahaha na kula juu yakomalipo laki na nusu thubutuuu
😂😂😂😂Naenda church na suti yangu hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]usisahau kuchukua na bible
Ukaitie upako kidogo🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂Naenda church na suti yangu hapa
Hahahahaha![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama na kigogo umeshakijua basi uko smart kichwani,jiandae kulamba mrija wako
Mimi sikujua hilo aisee...Mkuu mbona walitangaza kabisa watatoa kuanzia tarehe 2.
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Hata wakikosa maisha yataenda tu hata bila PSRS.Kuna watu humu walikuwa na Received zaidi ya 3 Ila naamini baada ya PSRS kuita Usaili Heslb na naot, baadhi ya watu washamaliza Received zao zote.
Haya Kila mtu aje hapa atoe ushuhuda wake,,,, Alikuwa na received ngapi, kahudhuria saili ngapi, kafika Oral mara ngapi, Tamu na chungu ipo wapi kwenye hizi saili, Estimation wa kupata kazi kupitia hizi saili iko wapi.????? AU ndo ulikandwa zote [emoji23][emoji23]
Matokeo ni tarehe 2 kwa NAOT na HELSB n tarehe 3. Invegilator wetu alitutangazia hvyo.Hivi jamani matokeo ya NAOT ni lini?Kukaa Dodoma mpaka hiyo tarehe 7 ni matumizi mabaya ya hela zangu.Wenye fununu fungukeni.
Nilisoma pcb ufaulu div3 ya 13Umesomea masomo gani na ufaulu upoje mzee?ili tukushauri vizuri
Sijasema maisha hayatoendelea, maisha yanaendelea hata ukiwa unaishi kwa matumaini kwa kutumia ARV..
Kasome ualimu mzee siuna pass mbili hizoNilisoma pcb ufaulu div3 ya 13
Phy D
Chem D
Bio E
Hapana sipo katika kundi hiloSijasema maisha hayatoendelea, maisha yanaendelea hata ukiwa unaishi kwa matumaini kwa kutumia ARV..
Je, wewe ni Miongoni mwa waliokandwa mazima..?
Enzi zetu ungeenda MDNilisoma pcb ufaulu div3 ya 13
Phy D
Chem D
Bio E