Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Naona Leo wawakilishi wetu wa hili Chama letu la majobless, wameenda kutuwakilisha huko PSRS..
Mkuu Mwifwa na wenzio wote nawatakia Kila la kheri, mkishinda nyie nasi tumeshinda.. Siku yangu Mimi ya kupata barua ya kazi tutakuwa na part la kufa mtu pale Samakisamaki kama furaha ya ushindi baada ya kuwakanda PSRS
 
Habari ya asubuhi ndugu, salary scale ya loan officer grade II kwa HESLB ni HESLB SS4.

Je kuna yeyote anaweza nisaidia hii scale kwa figure ni kiasi gani.
 
Back
Top Bottom