Haya tuendelee sasa nawashauri mnapoomba msaada muweke na job description maana issue sio maswali tu kuna notes ambao inatakiwa upitie zinazoendana na duty zako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapana bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya tuendelee sasa nawashauri mnapoomba msaada muweke na job description maana issue sio maswali tu kuna notes ambao inatakiwa upitie zinazoendana na duty zako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapana bana
We si unaona hyo hapana bana broo ni ya kike hyo😂Lakini wakike au sio?😂😂
Okay nilidhani ni oralEducation background hiyo ni oral,me nataka possible za written mana hata written bado kuitwa
Hili lina ukweli ndani yakeNadhani Swala la kuchelewa Kuitwa Kazini,Kuwa Na Receive Nyingi Kwenye Account, Na kuwa Na Barua ya kuitwa kazini muda mrefu bila Kuanzaa kazi na kulamba Asali.
Sababu Ni Hiyo Point No 50. Isomeke ...
😂😂😂😂Hahhhh uhakikaWe si unaona hyo hapana bana broo ni ya kike hyo😂
Sawa naziletaHaya tuendelee sasa nawashauri mnapoomba msaada muweke na job description maana issue sio maswali tu kuna notes ambao inatakiwa upitie zinazoendana na duty zako
Ndiyo boss[emoji28]Lakini wakike au sio?[emoji23][emoji23]
Hizi hapaHaya tuendelee sasa nawashauri mnapoomba msaada muweke na job description maana issue sio maswali tu kuna notes ambao inatakiwa upitie zinazoendana na duty zako
😂😂😂Kiswahili kigumu bhna fanya ziwe zakiingereza
Muweke job description hapa watu wajaribu kuwasaidia hata kama sio watu watakwimu.
Umekazana jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui ningeita "Prok" maana kigugumizi kilitangulia.
Pale tulipokuwa tumekaa/tumesimama kwenye Tent mida ya mchana, mliitwa mkaanza kuitana na kuelekea upande wa Magharibi, mlitokea kwenye kale kaCafe mkatupita hapo mbele, mkawa mnaitana. Kuna wanaume walikuwa wamekaa nyuma ya Tent mmoja akaenda kuwaita, mimi muda huo ninapiga jicho la ukweli nikiwaza na kuwazua kuwa "Prok ni yupi hapa"[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mwaka Mpya Unakaribia Kuanzaa.Hizi ni dalili za nini?View attachment 2409932
Hizi ni dalili za nini?View attachment 2409932Watakuwa MDAs na LGAs washaanza fujo
Hali mbaya ya ajira nchiniHizi ni dalili za nini?View attachment 2409932
Mwakani, mwezi ujao tutakuwa busy holidayPlacement inatoka mwezi ujao[emoji23]
Kama ilivyokuwa kwa Prok tuliyezani ni Me[emoji3][emoji3][emoji3]We si unaona hyo hapana bana broo ni ya kike hyo[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umekazana jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]